Yanga walipiga soccer la kiwango Cha SGR kama la bayern munchein ya kipindi kileKilichonifurahisha jana kila kosa kosa waarabu waliokota mpira kwenye nyavu hakuna goli la kumuuliza refa...
Mamba anatukanwa na mto tunavukasafari bado.USITUKANE MAMBA HAUJAVUKA MTO
Hapo ndo mwisho wenu
Robo ingekuwa sio mafanikio ndugu yenu angepelekwa ICU?Yanga mpira wanajua aisee hii burudani sikutegemea kama ntaipata kwa Yanga Eng Hersi kafanya kazi sana na jopo lake sina cha kusema maana jamaa waliona Robo ni mafanikio wakati sisi hapo tunaweza kuvuka ngoja tupewe Mtu yeyote waone...
Aliigiza TuRobo ingekuwa sio mafanikio ndugu yenu angepelekwa ICU?
Mambo ya afya yana mambo mengi mazee huko ondoa ushabiki...Robo ingekuwa sio mafanikio ndugu yenu angepelekwa ICU?
Mbona na mashabiki waliamrishwa wapake sasa?Habari za kikachero zinaeleza kuwa waarabu waliambiwa wawe makini na pacome mwenye bleach ila chajabu wakakutana na wachezaji wengi wenye bleach, Yao yao, Aziz ki, Diara na Guede aliyeweka ndevu bleach
Walishindwa kumkaba PACOME yupi, AZIZ akawapa haki yao, PACOME halisi akapiga chenga timu nzima.