Blair Kukaangwa Leo

Blair Kukaangwa Leo

Yiyu Sheping

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2016
Posts
1,720
Reaction score
850
Ile ripoti ya uvamizi huko Iraq inatolewa sasa na mambo yanamuendea mrama Blair.

Watu wana jiuliza kwa nini sasa? takribani miaka 7 tangu kuanza uchunguzi huu. Baada ya UK kujichanganya na maamuzi ya brexit tutarajie kuona mengi.
 
halafu...mbona ya Bush mpaka alikiri kuwa alidanganywa na CIA , hakukuwa na silaha za sumu.......

unafikiri then nini kitatokea? ebu kataza watu wasitumie shisha bana
 
Nasikiliza hapa, hapa jamaa wanamfungukia, sasa na huyu atapelekwa ICC?
 
Back
Top Bottom