Wadau nina simu tatu zote
mpya na receipts na kila kitu unapata na mabox yake na tunaandikishana
kwa picha na vitambulisho,eg kitambulisho cha kura au passport ya
kusafiria.
Hizi ndo bei zake,
blackbery torch kwa mlimani city nimeona ni 1,070,000 mimi nauza laki
sita na nusu kamili
iphone 4s gb16 kwa mlimani city nimeona ni $1150 mi nauza laki nane
htc sens kwa mlimani nimeona 848,000 mi nauza laki sita kamili
kamera nikon megapixel 7.5 nauza laki moja na nusu
wenye/mwenye hitaji nicall 0683653325
mwenye hitaji nicall as soon as possible narudi chuo this weekend.
Cheers!!
hizo simu ukinunua unapiga kabisa picha na messi
Wewe ni mngoni?hizo simu ukinunua unapiga kabisa picha na messi
Da hivi Mlimani City ishakuwa kilinganisho cha bei,embu tulinganishie na bei za CBA(Posta & Kariakoo)huko nako kuna maduka yaliyoenda shule kama yale ya Mlimani,pia na linganisha na maduka yaliyopo Quality Centre,ukitoa hizo bei ntakutafuta dugu yanguWadau nina simu tatu zote mpya na receipts na kila kitu unapata na mabox yake na tunaandikishana kwa picha na vitambulisho,eg kitambulisho cha kura au passport ya kusafiria.
Hizi ndo bei zake,
blackbery torch kwa mlimani city nimeona ni 1,070,000 mimi nauza laki sita na nusu kamili
iphone 4s gb16 kwa mlimani city nimeona ni $1150 mi nauza laki nane
htc sens kwa mlimani nimeona 848,000 mi nauza laki sita kamili
kamera nikon megapixel 7.5 nauza laki moja na nusu
wenye/mwenye hitaji nicall 0683653325
mwenye hitaji nicall as soon as possible narudi chuo this weekend.
Cheers!!