BlackBerry kutengeneza smartphone inayotumia Android OS.

BlackBerry kutengeneza smartphone inayotumia Android OS.

Hakuna simu imenyima watu usingizi kama hii.still bado ukiwa nayo watu wanakutolea mimacho.

Yaani bado INA heshima sana ukilinganisha na yeboyebo os.
 
naskia nokia wanarejea tena kwenye soko la smartphones mwakani, ni kweli mnazi wa nokia?

yap eka contdown timer 6 month to go. huenda january 2016 ikatoka. ila watakuwa wanafanya design tu, manufacturing na supply atafanya mwengine.
 
android? au wanatengeza os yao?

itakuwa ni android sababu n1 ina android na wana launcher yao z-launcher ambayo pia ni ya android.

1451595600id_0.9860846699716762_img1.gif
 
me yangu nimeipa blackberry 10...update ya 10.3.2 yani utamu tu unaweza weka play store.au mobo....kwa hiyo app za andoid unazipata
 
Back
Top Bottom