blackberry inauzwa

Kwavile wewe ni mdada leta tu iyo laki na nusu

mimi ni mwanaume rijali,,, jamii nzima ya jf inanijua,,,,, lakini nimegundua kua unapenda sana kuhonga,,, ntafanya mpango wa kutafuta mwanamke, akulainishe umuhonge hiyo simu,,,, nyie ndo mnaokufa maskini, mnashindwa hata kuwalipia watoto zenu ada kisa kuhonga
 
Laki 5 Hapo napata simu kama 3 hiv full internet, na maujanja mengine
 
ndugu yangu samdala, naona kama vile hapa jf hakuna mtu anayeitaka product yako, nnachokushauri, kahonge, manake ushajionesha sana kua unapenda kuhongaa, kabla hata hao utakaoenda kuwahonga hawajaikataa kama ilivokataliwa hapa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom