bado hujapata mteja wa kukupigia? utangoja mpaka bwana yesu atarudi hakuna mtu atakaekupigia, tulikushauri uweke bei mtu akiona reasonable ndo anakupigia, ukaona ushauri huo mbaya ukaitelekeza thread uliyoianzisha ukaja fungua thread ingine kwa tangazo hilo hilo, sasa usitujazie server. weka bei atakaetaka atakupigia wewe wa wapi?
aghassany naomba radhi, unajua huwa nakerwa na matangazo yasiyo jitosheleza, big up jembe, sasa kabla sijapiga simu naomba nijue we uko wapi? naitaka najua hatutashindwana ktk bei.
Pokea simu Ndugu...:lol: