..tum,
..kama ni suala la mafundi hapa bongo inabidi uwe makini sana! kwa ufupi hamna mafundi wazuri wa blackberry.
..sasa, kama unaweza kuongea na watu wa celtel [ingekuwa vizuri kama ungenunua simcard yao,kama hauna,ili wakupe ushirikiano mzuri zaidi] wakueleze zao huwa wanazi-service wapi. nadhani watakuwa na fundi.
..pili, pale shoppers plaza [mikocheni] ghorofa ya kwanza nadhani,kuna mhindi mmoja kijana ana ka-shop kake kanaitwa "ib electronics" ni fundi mzuri ila bei mbaya kidogo. kamwone [yeye sio vijana wake] umweleze tatizo hilo.
..tatu, kama una jamaa wanaoenda uk au usa mara kwa mara,wape hiyo simu waende nayo ikatengenezwe.
..pole kwa usumbufu.