Tumsifu Samwel
JF-Expert Member
- Jul 30, 2007
- 1,407
- 159
Wana JF naombeni msaada wenu wakiufundi,nina simu yangu aina ya blackberry Pearl 8100 , nimeinunua marekani na nimeitumia huko karibu miaka 2 nilipo kuja hapa tanzania mwaka jana mwenzi 11 niliitumia vizuri tu
bila matatizo baada ya mwenzi mmoja ilizima ghafla na nilipo jaribu kuwasha ikagoma kuwaka mpaka leo hii nimekuwa siwezi kuitumia,nimejaribu kupeleka kwa mafundi wa hapa wameniambia kuwa hawana software za kufanyia flashing,
nika mpata fundi mmoja akaniambia kuwa anaweza nilipo mpelekea akajaribu kuflash akashindwa akadai kuwa ina virus,basi ndugu zangu naombeni mnisaidie kama mnaweza kunielekeza kwa fundi ambae anaweza kutatua
tatizo ili ambalo linanisumbua kichwa changu.au ushauri wa namna gani naweza kulitatua mwenyewe..
bila matatizo baada ya mwenzi mmoja ilizima ghafla na nilipo jaribu kuwasha ikagoma kuwaka mpaka leo hii nimekuwa siwezi kuitumia,nimejaribu kupeleka kwa mafundi wa hapa wameniambia kuwa hawana software za kufanyia flashing,
nika mpata fundi mmoja akaniambia kuwa anaweza nilipo mpelekea akajaribu kuflash akashindwa akadai kuwa ina virus,basi ndugu zangu naombeni mnisaidie kama mnaweza kunielekeza kwa fundi ambae anaweza kutatua
tatizo ili ambalo linanisumbua kichwa changu.au ushauri wa namna gani naweza kulitatua mwenyewe..
