BLACK VIEW (Zeta) Phone

BLACK VIEW (Zeta) Phone

Hakuna kipaji cha kutengeneza simu kaka, ukiona tu kampuni ya simu huielewi achana nayo. Utaiona nzuri ikiwa mpya ila hutapata support yoyote ikianza kuharibika.

Pia siku hizi ukiwa na dola 20,000 tu unaagizia mzigo china na jina lako, simu nyingi unazoziona mtaani ni hizo hizo ila watu tu wanazibrand na kueka majina yao.

Bora wekeza hela yako tafuta simu nzuri yenye warranty utulize kichwa uache kuhangaika.
 
Hakuna kipaji cha kutengeneza simu kaka, ukiona tu kampuni ya simu huielewi achana nayo. Utaiona nzuri ikiwa mpya ila hutapata support yoyote ikianza kuharibika.

Pia siku hizi ukiwa na dola 20,000 tu unaagizia mzigo china na jina lako, simu nyingi unazoziona mtaani ni hizo hizo ila watu tu wanazibrand na kueka majina yao.

Bora wekeza hela yako tafuta simu nzuri yenye warranty utulize kichwa uache kuhangaika.

Asante sana mkuu kwa ushauri mzuri,..
 
Naombeni kujua uwezo wa simu hii kwa anaezifahamu vizuri

Mkuu kama uko Dar nenda IPS building kwenye ile corridor ya ndani, ukiingia kutokea mashariki mkono wa kulia kuna duka wanauza computer na pia hizo simu zipo model mbalimbali.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom