Black Dollar

Black Dollar

Pesa nyeusi ndio ipi hiyo mkuu ?

Na malipo ya hiyo dawa nalipa kwa pesa hiyo nyeusi au nikishaisafisha ndio tunalipana ? au hii service ni ya bure
 
me mwenyew ndio naskia leo kuwa kuna pesa nyeusi?

TUPEANE ELIMU KIDOGO MKUBWA KAMA HUTAJALI
 
Mkuu hio yako ina tofauti gani na hii ya kwenye hii article

The black money scam, sometimes also known as the "wash wash scam", is a scam where con artists attempt to fraudulently obtain money from a victim by persuading him or her that piles of banknote-sized paper in a trunk or a safe is really money which has been dyed black or another color (e.g. to avoid detection by customs). The victim is persuaded to pay for chemicals to wash the "money" with a promise that he will share in the proceeds.

The black money scam is a variation of what is known as advance fee fraud.

Black money scam - Wikipedia, the free encyclopedia
 
Pesa nyeusi ni zile dola zilizopata madoa huwa kuna dawa ya kuziosha.
 
nimetafuta sana hiyo dawa mkuu, kumbe unayo?!! mimi ninazo hizo pesa nyeusi nnazo boksi kadhaa, kama vipi nikuuzie ili usafishe mwenyewe, njoo pm
TAHADHAR;Kua makin sn na Hawa watu wanaosema wako na ssd solution au solution yyte ile ya kusafisha iz Black Dollar weng wao ni watoto wa Town sn wapigaj wanasema wanasolution unawapa mchongo Mzm wakija kuuona mzigo km uko kwel na ni mrefu wanakuchanjia baharin wazee wa kaz wanaingia kazin wanakushikia bomba wanasepa na mzigo.Kuanzia makubaliano ya wap pa kwenda kufanyia kaz,usalama lzm uwepo na uwe na uhakika nao km kwel wanayo Iyo solution watu wako kazin..You av to b Very very keaful.Am tokin Thru Experiance,(Xperience is ze Best Ticha)Gudluck
 
TAHADHAR;Kua makin sn na Hawa watu wanaosema wako na ssd solution au solution yyte ile ya kusafisha iz Black Dollar weng wao ni watoto wa Town sn wapigaj wanasema wanasolution unawapa mchongo Mzm wakija kuuona mzigo km uko kwel na ni mrefu wanakuchanjia baharin wazee wa kaz wanaingia kazin wanakushikia bomba wanasepa na mzigo.Kuanzia makubaliano ya wap pa kwenda kufanyia kaz,usalama lzm uwepo na uwe na uhakika nao km kwel wanayo Iyo solution watu wako kazin..You av to b Very very keaful.Am tokin Thru Experiance,(Xperience is ze Best Ticha)Gudluck

hahahaa, naelewa kuliko yeye anavyoelewa ndiyo maana nikamwambia aje kununua kwangu hizo pesa akasafishe kwa raha zake.
 
biashara haramu utakamatwa ufungwe ndugu yangu watu wamepigwa hela
 
Dawa za kusafishia pesa nyeusi anayehitaji ani PM
acha utapeli wa kitoto wewe kwanza ulitaka kunipiga hela kwenye medali nikastuka afu wenzako hawapigi hivyo kizamani utakuja kula shaba wewe
 
Dawa za kusafishia pesa nyeusi anayehitaji ani PM
acha utapeli wa kitoto wewe kwanza ulitaka kunipiga hela kwenye medali nikastuka afu wenzako hawapigi hivyo kizamani utakuja kula shaba wewe
 
Back
Top Bottom