mng'oa kucha
Senior Member
- Jul 31, 2013
- 150
- 179
Msaada nina shida ya kifamilia na muigizaji nguli wa zamani kwenye televisheni ya ITV alikuwa maarufu na lafudhi yake ya kihaya kipindi chao nadhani kilikuwa kinaitwa mambo hayo mwenye kujua ntampataje tafadhali msaada ntashukuru sana kifupi ni kwamba alikuwa rafiki na ndugu zangu ambao wote walifariki nikiwa ughaibuni nabeba boksi, wakaacha mtoto ambaye sijui yuko wapi kwa sasa asanteni.