Binti wa kumnusuru

Binti wa kumnusuru

hanee

Member
Joined
Feb 8, 2015
Posts
41
Reaction score
8
Natafuta mdada wa kumuoa,mimi kijana wa miaka 25,elimu yangu ni ya chuo.nimeajiriwa mwaka 2015
namtafuta binti wa kumuoa awe na sifa hizi :-

1.Awe Muislamu.
2.Mcha mungu na muuumini wa kweli.
3.Awe na umri wa miaka 25 -19.
4.Mwenye mapenzi kwa ajili ya mola wake.
5.Awe na elimu level yoyote.
 
Safar njema ya maisha na mwenza mtarajiwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom