Huwa wanasubiria kuletewa binamu zao ndio wawaoekwanini mabinti wa kizenji niliowahi kuwatokea wanatake long time or even reject your proposal of being together hata kama una lengo zuri tu juu yake? jamani kunani visiwani?.wenye uzoefu watujuze
mkuu kumbe unauzoefu nao😎Huwa wanasubiria kuletewa binamu zao ndio wawaoe
Labda Hujawavutia! Kwani ni lazima kila unayemtokea akukubali!?kwanini mabinti wa kizenji niliowahi kuwatokea wanatake long time or even reject your proposal of being together hata kama una lengo zuri tu juu yake? jamani kunani visiwani?.wenye uzoefu watujuze
Inategemea mkuu. Kama unatoka bara nahisi itakuwa ni kaubaguzkwanini mabinti wa kizenji niliowahi kuwatokea wanatake long time or even reject your proposal of being together hata kama una lengo zuri tu juu yake? jamani kunani visiwani?.wenye uzoefu watujuze
kuna rafiki yangu ameoa huko zenji. ndo nami nimeinjoy the way they live in marriage. ndo nami nimeshawishika ila ndo ivo kila ninapogusa maringo %. au ndo ubaguzi wenyewe? but hata wenyeji wanasema zenji to be accepted ni long journey.Inategemea mkuu. Kama unatoka bara nahisi itakuwa ni kaubaguz
Hakuna mapenzi ya urojo.Hiyo ndio gym yetu Mungu katupa.tuambie hizo fukunyu zetu may be ndo amenikatalia kwa hayo tunayoyafukunyua