Bint yangu anaugonjwa wa ajabu

Mandown

JF-Expert Member
Apr 8, 2012
1,665
503
Jumamosi 29/09/2012 nilishtuka kuona mambo ya ajabu nyumbani kwangu, kubwa ni la bint yangu wa miaka 16 ambapo amepatwa na ugonjwa wa kucheka hovyo, sasa imefikia hatua ya kuanguka na kuzirai, akizinduka macho hayaoni kwa muda. Hostpitali hawajagundua ugojwa wowote, manake nilidhani anaumwa malaria. Mke wangu na watu wengine wanadai mambo ya kishirikina ambapo siamini hivo. Jana mke wangu alikuta NGUO YAKE YA NDANI chumbani kwetu, na hakuna anayejua imefikaje huko.
  • Nahisi anaugonjwa haujagundulika hospitali, haiwezekani mtu uzimie halafu ukizinduka macho yakose kuona, wanapima hawaoni kitu wanampa panadol.
  • Nahisi pia anajifanyisha ili asiende shule, lakini hii ni staili ya pekee kumuona hivi, saa nyingine hataki kabisa ka kaa ndani anabaki nje mpaka tumuingize kwa nguvu.
  • majirani wana mshawishi mke wangu kuwa amelogwa..! Sasa amelogwa ananini???? kwanini wachawi wasimloge baharesa, ama mengi eli wamwagiwe mapesa, sie mafukara ndio tunalogana!

Wadau naomba ushauri
 
Jumamosi 29/09/2012 nilishtuka kuona mambo ya ajabu nyumbani kwangu, kubwa ni la bint yangu wa miaka 16 ambapo amepatwa na ugonjwa wa kucheka hovyo, sasa imefikia hatua ya kuanguka na kuzirai, akizinduka macho hayaoni kwa muda. Hostpitali hawajagundua ugojwa wowote, manake nilidhani anaumwa malaria. Mke wangu na watu wengine wanadai mambo ya kishirikina ambapo siamini hivo. Jana mke wangu alikuta NGUO YAKE YA NDANI chumbani kwetu, na hakuna anayejua imefikaje huko.
  • Nahisi anaugonjwa haujagundulika hospitali, haiwezekani mtu uzimie halafu ukizinduka macho yakose kuona, wanapima hawaoni kitu wanampa panadol.
  • Nahisi pia anajifanyisha ili asiende shule, lakini hii ni staili ya pekee kumuona hivi, saa nyingine hataki kabisa ka kaa ndani anabaki nje mpaka tumuingize kwa nguvu.
  • majirani wana mshawishi mke wangu kuwa amelogwa..! Sasa amelogwa ananini???? kwanini wachawi wasimloge baharesa, ama mengi eli wamwagiwe mapesa, sie mafukara ndio tunalogana!

Wadau naomba ushauri

Pole sana. Mtoto wa Uncle yangu(mdogo wangu) msichana umri miaka 18(amezaliwa 1994) amepata ugonjwa kama huo miezi miwili iliyopita.

Anaishiwa nguvu, analegea, anacheka, anakuwa kama Zombie! Inafikia hatua anazimia pia. Hospitali wamesema haumwi chochote.

Alikuwa form 5, shule hawezi tena kwenda anashinda nyumbani.

Mara ya kwanza familia iliona ni pressure ambayo wazazi wake walikuwa wanampa. Wazazi walikuwa na ambitions kubwa juu yake na ikaonekana hafaulu vizuri sana.

Amekaa nyumbani in a very relaxed mode. Juzi nimeonana nae naona amerejea kawaida. Kama ni issue za kurogwa dah! Ila inawezekana
 
Pole sana. Mtoto wa Uncle yangu(mdogo wangu) msichana umri miaka 18(amezaliwa 1994) amepata ugonjwa kama huo miezi miwili iliyopita.

Anaishiwa nguvu, analegea, anacheka, anakuwa kama Zombie! Inafikia hatua anazimia pia. Hospitali wamesema haumwi chochote.

Alikuwa form 5, shule hawezi tena kwenda anashinda nyumbani.

Mara ya kwanza familia iliona ni pressure ambayo wazazi wake walikuwa wanampa. Wazazi walikuwa na ambitions kubwa juu yake na ikaonekana hafaulu vizuri sana.

Amekaa nyumbani in a very relaxed mode. Juzi nimeonana nae naona amerejea kawaida. Kama ni issue za kurogwa dah! Ila inawezekana

kwahiyo baada ya kumtoa SHULE amepona! au tiba ilikuwa nini
 
Pole sana, kuna baadhi ya watoto huwa wakichukia shule fulani wana hako kajitabia, mchunguze , jaribu kusema neno la kufurahisha kama kusafiri hivi kwenda mbugani au ulaya na jidai kusema kama utamchukuwa wakati amezimia, kama akiamka ataulizia jambo hilo basi ujue anajifanyisha other wise huwa inatokea ! kuna binti mmoja alikuwa na tabia hiyo namjua kabisa, ila wazazi walikuja kugundua baadae kuwa alikuwa haipendi shule na hivo wakamhamisha ila sasa huko alipoenda napo akaanza kugombana na wenzake akaanza tena kamchezo kake cha kuanguka shule wakamstukia naona ameacha sasa! mchunguze !
 
Mh huu ugonjwa unawapata sana wanafunzi wanaosoma shule za bweni na za wasichana watupu.
Sasa sijui chanzo kinakuwa nini na dawa yake ninini?
 
Hysteria au double personality, halafu mabinti huwa wanaupata kwa kujiendekeza zaidi, wanaambukizana. Hii niliipata kwa daktari wa saikolojia fulani hivi.
Washauri wa saikolojia wanaweza msaidia zaidi.

Uswahilini huwa tunaamini binti anahitaji kampani ya jinsia ya kiume, hatuna prufu
Ila ukiumwa chekelea wanakukabidhi kijana anamshughulikia basi mtu anapona.
 
Pole sana, kuna baadhi ya watoto huwa wakichukia shule fulani wana hako kajitabia, mchunguze , jaribu kusema neno la kufurahisha kama kusafiri hivi kwenda mbugani au ulaya na jidai kusema kama utamchukuwa wakati amezimia, kama akiamka ataulizia jambo hilo basi ujue anajifanyisha other wise huwa inatokea ! kuna binti mmoja alikuwa na tabia hiyo namjua kabisa, ila wazazi walikuja kugundua baadae kuwa alikuwa haipendi shule na hivo wakamhamisha ila sasa huko alipoenda napo akaanza kugombana na wenzake akaanza tena kamchezo kake cha kuanguka shule wakamstukia naona ameacha sasa! mchunguze !
asante
 
Mh huu ugonjwa unawapata sana wanafunzi wanaosoma shule za bweni na za wasichana watupu.
Sasa sijui chanzo kinakuwa nini na dawa yake ninini?

Maelezo yako yanaonesha kama unajua unajua hivi, ila unazungusha mada....mwaga radhi NATA
 
Last edited by a moderator:
wachawi wase** kweli.yaani wanamloga binti mdogo ambaye hata hata pesa anamtegemea mzazi .wtf with these african??
 
Hysteria au double personality, halafu mabinti huwa wanaupata kwa kujiendekeza zaidi, wanaambukizana. Hii niliipata kwa daktari wa saikolojia fulani hivi.
Washauri wa saikolojia wanaweza msaidia zaidi.

Uswahilini huwa tunaamini binti anahitaji kampani ya jinsia ya kiume, hatuna prufu
Ila ukiumwa chekelea wanakukabidhi kijana anamshughulikia basi mtu anapona.

Hapo kwenye bold ndio pana jibu mkuu, huku kwingine ulikuwa unanipotezea muda tu
 
huu uhuni sasa
Hysteria au double personality, halafu mabinti huwa wanaupata kwa kujiendekeza zaidi, wanaambukizana. Hii niliipata kwa daktari wa saikolojia fulani hivi.
Washauri wa saikolojia wanaweza msaidia zaidi.

Uswahilini huwa tunaamini binti anahitaji kampani ya jinsia ya kiume, hatuna prufu
Ila ukiumwa chekelea wanakukabidhi kijana anamshughulikia basi mtu anapona.
 
Hysteria au double personality, halafu mabinti huwa wanaupata kwa kujiendekeza zaidi, wanaambukizana. Hii niliipata kwa daktari wa saikolojia fulani hivi.
Washauri wa saikolojia wanaweza msaidia zaidi.

Uswahilini huwa tunaamini binti anahitaji kampani ya jinsia ya kiume, hatuna prufu
Ila ukiumwa chekelea wanakukabidhi kijana anamshughulikia basi mtu anapona.

Inawezekana ikawa Hysteria kama anavyosema Kongosho. Jaribu kumuona Daktari pale kitengo cha magonjwa ya akili Muhimbili. Sexual Hysteria kama kuna wengine wameshauri hapo juu, haitibiwi kwa kumuachia mtoto huru 'akararuriwe' ndio apone...theres no such a treatment for sexual hysteria, na mtakapofanya hivyo basi anaweza hata akawa anajifanyisha ili tu apate ruhusa ya 'kuraruriwa'. Counseling by a professional counselor/psychiatrist ndicho anachohitaji.
 
Inawezekana ikawa Hysteria kama anavyosema Kongosho. Jaribu kumuona Daktari pale kitengo cha magonjwa ya akili Muhimbili. Sexual Hysteria kama kuna wengine wameshauri hapo juu, haitibiwi kwa kumuachia mtoto huru 'akararuriwe' ndio apone...theres no such a treatment for sexual hysteria, na mtakapofanya hivyo basi anaweza hata akawa anajifanyisha ili tu apate ruhusa ya 'kuraruriwa'. Counseling by a professional counselor/psychiatrist ndicho anachohitaji.
thanks brother
 
Nimempa taarifa zote nazozijua kuhusu ugonjwa ili mzazi aamue ipi afuate.

Hivi tukiacha masihara na utani, mzazi unaweza kweli kumkabidhi binti yako kwa Bujibuji eti anatibiwa na wewe ukae nje unasubiria?

Mola aepushie mbali, matibabu haya yasimkute binti yangu ikanilazimu nijue kuwa saa hii anatibiwa
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom