zugazuga na mimi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2017
- 241
- 77
Habarini wakuu kama uzi ulivosema bingwa au mtaalamu wa IT anahitajika fasta
Aliyoko ani pm ahsante
Aliyoko ani pm ahsante
Namtafuta mwenye uwezo na kazi yake mkuuZugazuga bila vyeti mbona watoto wapo wengi wanaDownload ma miziki na kutengeneza misimu mitaani kuliko wenye vyeti!
Namtafuta mwenye uwezo na kazi yake mkuu
iT mwenye category ipi?
Niko hapa boss.. na experience ya kutosha
Very good question..iT mwenye category ipi?