Timu bora ya dunia imefungwa na chelsea na madrid wakiwa wote kumi na moja kwa kumi na moja. wameitoa AC milan kwa kubebwa bila aibu.Kila wakiwafunga wenzao utakuta wamebebwa. leo hakukuwa na red card wala nini! Mimi nawaapia Ukikuta mtu anashangilia Barcelona na Manchester utd lazima maishani mwake ni dhulumati mkubwa! Morinho hongera sana kwa kutwaa ubingwa mapemaa!!!