Binary Options Trading

Binary Options Trading

binti mkupasi

Member
Joined
Jan 9, 2016
Posts
25
Reaction score
16
Habari..

Nimekuwa mfuatiliaji mkubwa sana wa mambo ya forex trading, lakini kwa upande wangu nikaona ni ngumu kumeza.

Nikaamua kugeukia upande wa pili wa pili wa Binary Options trading, hii kidogo kwangu imekuwa nafuu.

Hivyo basi, naomba kama kuna mtu yuko vizuri kwenye hii trade aweke some tips here, Maana kwangu bado sijaweza vyema lakini niko interested Sana.

Pia kama waweza kunifundisha, basi naomba tuwasiliane PM.

Ahsante.
 
Komaa na Forex angalau kidogo itakuonyesha njia Binary Option inaweza ikakupotezea muda na mtaji wako bure tu, Labda ujaribu ku trade kwa high timeframe lakini napo sidhani, you may give it a shot halafu ufanye conclusion.

All the best.
 
Wakuu

Naombeni naombeni maelezo ya bot.binary.com

Kwa yeyote mwenye ufahamu kuhusu Jambo hili katika hasara na faida zake.
 
Nimeishia App za binary option kuzifanya Game tu maana review nyingi ni mbaya zimeniogopesha naona wanalia hela hazitoki...
 
Nimeishia App za binary option kuzifanya Game tu maana review nyingi ni mbaya zimeniogopesha naona wanalia hela hazitoki...
mkuu wengi wanalia sababu mostly wanatumia *Pesa MasterCard.
*pesa MasterCard haiwezi kuwithdraw, kwa maana ya kuwa sites nyingi za option trading ukifanya desposit kupitia a certain method, ndiyo hiyohiyo utakayoitumia kuwithdraw, na hata online wallet mfano Skrill, ukideposit pesa kutumia *pesa Mastercard huwezi kuitoa hiyo pesa.
sijawahi ulizia kwa wahusika ni kwa nn ila normally ninachokifahamu ni kuwa, hizi MasterCard tunazopewa na hawa providers kama Vcom, na A/tel wetu ni kwaajili ya kufanya malipo/manunuzi Online, so kwa akili ya haraka haraka kama ulitengeneza card for paying how can you expect that card to be used for withdrawing mwaisa, it doesn't come come, so usiblame tu bila kuwa na sababu unazozielewa.

snipa2020
 
mkuu wengi wanalia sababu mostly wanatumia *Pesa MasterCard.
*pesa MasterCard haiwezi kuwithdraw, kwa maana ya kuwa sites nyingi za option trading ukifanya desposit kupitia a certain method, ndiyo hiyohiyo utakayoitumia kuwithdraw, na hata online wallet mfano Skrill, ukideposit pesa kutumia *pesa Mastercard huwezi kuitoa hiyo pesa.
sijawahi ulizia kwa wahusika ni kwa nn ila normally ninachokifahamu ni kuwa, hizi MasterCard tunazopewa na hawa providers kama Vcom, na A/tel wetu ni kwaajili ya kufanya malipo/manunuzi Online, so kwa akili ya haraka haraka kama ulitengeneza card for paying how can you expect that card to be used for withdrawing mwaisa, it doesn't come come, so usiblame tu bila kuwa na sababu unazozielewa.

snipa2020
Ooh ni prepaid mastercard
Na hawa providers wako sahihi kwasabu kama ulikubali terms zao utaona kwa mastercard zao ni prepaid sio debit/credit ila sikuizi wanatoa visa so it's working sijajua kwa Tz lakini in jamaica visa iko Safi una deposit na kuwithdraw
 
Back
Top Bottom