Goliath mfalamagoha
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 602
- 2,506
Wanaochimba madini yetu wameruhusiwa na Serikali ya CCM kwamba wakivuna sh 10,000 (elfu kumi) sisi watuachie sh. 400 (mia nne) tu inatutosha (na mali ni yetu)! Nazungumzia 4% tu ya mrabaha wa mavuno rasmi yanayojulikana! Vipi tunalia na kisichojulikana, au gawio la 4% ni sawa??
Nashangaa wagonga meza wazee wa Ndiyoooo! wanashangilia michanga kama mazuzu, michanga ambayo bado ni ya wavunaji hata ikiwa na dhahabu tani zote! Uzuri Mikataba yote huridhiwa na Baraza la Mawaziri, Rais akiwa Mwenyekiti wake. Bunge limetengwa.
#Mbu_Hawezi_Kutibu_Maleria_Kamwe
_______
Major Mines in Shamba la Bibi (Tanzania)
1. Buzwagi Gold Mine
2. Bulyanhulu Gold Mine
3. Geita Gold Mine
4. Golden Pride Mine
5. TanzaniteOne Mine
6. Williamson Diamond Mine
7. StamiGold Biharamulo Mine
Hebu watafute wazawa wa maeneo hayo, angalia maisha yao, afya zao..., ni kama wamezaliwa kwenye laana!
Nashangaa wagonga meza wazee wa Ndiyoooo! wanashangilia michanga kama mazuzu, michanga ambayo bado ni ya wavunaji hata ikiwa na dhahabu tani zote! Uzuri Mikataba yote huridhiwa na Baraza la Mawaziri, Rais akiwa Mwenyekiti wake. Bunge limetengwa.
#Mbu_Hawezi_Kutibu_Maleria_Kamwe
_______
Major Mines in Shamba la Bibi (Tanzania)
1. Buzwagi Gold Mine
2. Bulyanhulu Gold Mine
3. Geita Gold Mine
4. Golden Pride Mine
5. TanzaniteOne Mine
6. Williamson Diamond Mine
7. StamiGold Biharamulo Mine
Hebu watafute wazawa wa maeneo hayo, angalia maisha yao, afya zao..., ni kama wamezaliwa kwenye laana!