Headline yako mbona ina ukakasi unauliza au unatoa maoniBaada Ya Msajili Wa Vyama Vya Siasa, Jaji Francis Mutungi Jana Kuvifuta Vyama Vitatu Vya Siasa, Jahazi Asilia, CHAUSTA Na APPT Maendeleo, Ni Chama Gani Kingine Unatamani Kifutwe Hata Leo?

nitolee umbeya hapaHeadline yako mbona ina ukakasi unauliza au unatoa maoni![]()
![]()
Mkuu Zolo, kwanza naheshimu mawazo yako na kila mtu yuko huru kutoa mawazo yake.Baada Ya Msajili Wa Vyama Vya Siasa, Jaji Francis Mutungi Jana Kuvifuta Vyama Vitatu Vya Siasa, Jahazi Asilia, CHAUSTA Na APPT Maendeleo, Ni Chama Gani Kingine Unatamani Kifutwe Hata Leo?
Hatunywi Sumu, hatujinyongi...
CCM mbele kwa mbeleeee...
Hatunywi Sumu, hatujinyongi...
CCM mbele kwa mbeleeee...
Hatunywi Sumu, hatujinyongi...
CCM mbele kwa mbeleeee...
Hatunywi Sumu, hatujinyongi...
CCM mbele kwa mbeleeee...
Tumeipenda wenyewe...
Chaguo letu milele...
Na wavimbe wapasuke...
Watajijua wenyewe...
Tumeipenda wenyewe...
Chaguo letu milele...
Na wavimbe wapasuke...
Watajijua wenyewe...
Wacha waisome namba eeeee... "watasoma nambaaa"
CCM mbele kwa mbeleee.. "ooh mbele kwa mbele"
Waacheni waandamaneee... "wajinga wale"
CCM mbele kwa mbele

Ulipata kumgao wako wa milion 10 kutoka kwa wabunge wararushwa, wapiga dili na mafisadi wa ccm?Hivi viroba jamani mnavyo kunywa viacheni. mimi nafikiri kingefutwa kile chama chako kinachokumbatia mafisadi na kuwasafisha kwa madodoki, halafu unasema ccm ifutwe??