Binadamu anahitaji kusifiwa na kushangiliwa katika mapambano ya maisha

MABAKULI

JF-Expert Member
Oct 4, 2015
1,754
1,645
Baada ya kuona watu wanamkumbuka Kikwete ni vizuri na hii inawezekana dokta Magufuli alisikitishwa sana na kale kawimbo kenu mlikomwimbia Kikwete kwenye mkutano mkuu mnaimani na deshideshi hata ule mkutano mkuu wenu mliopitisha yeye alisema angekuwa yeye asingebaki mtu pale na sasa yeye ni mwenyekiti inawezekana anawatafuta hata nje ya ukumbi
 
Back
Top Bottom