wakuu samahani kwanza naomba kujua hawa jamaa wanapatikana wap? Kwa hapa dar utaratibu wao ili upate hyo bima vinahitajika vitu gan? Je malipo yao kwa mwaka ni kiasi gan? Kwa mtu km mi ambaye sijaajiliwa popote yaan nimejiajiri nahitaj vitu vp ?ili kupata hyo kadi nisaidien wadau
Nakushauri uende bima nyingine kwani hawa ni wasanii tu. Sisi tulio na kadi hatupati huduma ya maana. Ningeweza kutoka ningetoka ila tulilazimishwa tu na serikali kwa vile yeye ndio mwajiri na anatulipa mishahara hivyo alianza kutukata juu kwa juu. Ulizia AAR na wengineo. Huko utapata huduma nzuri.
Nakushauri uende bima nyingine kwani hawa ni wasanii tu. Sisi tulio na kadi hatupati huduma ya maana. Ningeweza kutoka ningetoka ila tulilazimishwa tu na serikali kwa vile yeye ndio mwajiri na anatulipa mishahara hivyo alianza kutukata juu kwa juu. Ulizia AAR na wengineo. Huko utapata huduma nzuri.
wacha kumpotosha
mwenzako. wengine wana kadi hiyo ya nhif na wanaishukuru kila kukicha.
mwacho aipate ajionee mwenyewe. akishindwa atahamia hizo
zingine.
Mimi ni mmoja wa familia ninayetumia kadi ya bima ya taifa, lakini chakushangaza huduma ya bure niliyoiona ni kua niliandikiwa dawa lakini dawa nilizopewa bure kupitia bima hii ya taifa ni Paracetamol lakini dawa nyingine nikaambiwa nikanunue!
Mnanishauri nini?