Bima ya afya!??

Bima ya afya!??

Joined
Sep 4, 2022
Posts
9
Reaction score
9
je!? yale malipo ya bima ya afya, iwapo muhusika atopata huduma kwa kutopata maradhi ndani ya kipindi husika.
mfuko hufanya nini na hizo pesa!???
Nashauri
mfuko kurudisha fedha za mwana mfuko endapo atozitumia kupata huduma.
 
je!? yale malipo ya bima ya afya, iwapo muhusika atopata huduma kwa kutopata maradhi ndani ya kipindi husika.
mfuko hufanya nini na hizo pesa!???
Nashauri
mfuko kurudisha fedha za mwana mfuko endapo atozitumia kupata huduma.
Sio mzima wewe kichwani mtaani kuna idadi kubwa ya wagonjwa kutoroka milembe
 
Nicholaus jifunze maana ya bima kwanza, Kisha jifunze kutokuongea Kwa jamii kama hujui kitu na mwisho jaribu kuepuka vilevi vilivyozuiliwa na serekali
 
je!? yale malipo ya bima ya afya, iwapo muhusika atopata huduma kwa kutopata maradhi ndani ya kipindi husika.
mfuko hufanya nini na hizo pesa!???
Nashauri
mfuko kurudisha fedha za mwana mfuko endapo atozitumia kupata huduma.
Huna ufahamu wa jinsi biashara ya bima inavyofanya kazi!!je pale unapotumia gharama kubwa zaidi ya michango yako uliyochangia hiyo pesa na wewe utatakiwa kuirudisha!!umechangia tsh.30,000 unaugua unatibiwa kwa laki tatu,hizo pesa za ziada hapo ni za mwenzako ambaye hajaugua.
 
Back
Top Bottom