Bima ya afya mpaka kwa babu Loliondo!

mfukunyunzi

Senior Member
Joined
Mar 4, 2011
Posts
142
Reaction score
26
Jamani hii sasa kali maana kuna waalimu walienda kwa babu kule loliondo. Baada ya kupata kikombe babu akawaambia, "haya 500 yangu ?" Wakatoa bima ya afya, babu kachoka kabisa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…