mfukunyunzi Senior Member Joined Mar 4, 2011 Posts 142 Reaction score 26 May 1, 2011 #1 Jamani hii sasa kali maana kuna waalimu walienda kwa babu kule loliondo. Baada ya kupata kikombe babu akawaambia, "haya 500 yangu ?" Wakatoa bima ya afya, babu kachoka kabisa!
Jamani hii sasa kali maana kuna waalimu walienda kwa babu kule loliondo. Baada ya kupata kikombe babu akawaambia, "haya 500 yangu ?" Wakatoa bima ya afya, babu kachoka kabisa!