wewe cha mtoto, mimi niliomba kitambulisho nikiwa na employer mmoja ikachukua kama miezi3, wala sikupata, sasa nipo na employer mwingine na ni zaidi ya miezi4, cjapata hata mara moja na ninaomba na kupeleka form mwenyewe. Hawa jamaa cjui wanafanyaje kazi??? Mi nafikiri serikali ingeondoa monopoly wa NHIF, wanakera na kuboa!