Bima afya UDOM

Bima afya UDOM

Naomba mnisaidie,hivi tarehe ya kufungua chuo cha udom 31/10/2015,ndipo na wale waliochaguliwa diploma wanatakiwa kufika tarehe hiyohiyo au ni tarehe tofauti na ni tarehe ngapi?
 
Kama unafuta mafisadi papa nchi hii nenda UDOM. Hiyo 46 elf kwa madai yao ati ni kwa ajili ya mafuta ya ambulance wakati mtu akiugua ghafla ambulance yenyewe haitokei kwa wakati na mara nyingi kutokutokea kabisa inapotokea mtu kazidiwa usiku lakini wakipigiwa kwenda kubeba wagonjwa wengine ntyuka na maeneo mengine wanakimbia kama upepo hata kama ni saa nane usiku.
Pia huduma za afya pale kwenye dispensary yao ni hovyo kabisa madoctor wamekalia kushikashika ma**lio ya watoto wakike wanaoenda kutibiwa, dawa hamna kila ukienda kutibuwa.

Hahahaha we jamaaa unaakili kubwaaa.... Eee bhanaa ovyoooo kabsaaa maskini vitoto vya watuuu
 
Kama una bima unalipa elfu 46. Ila kama hauna itakubid ulipe yote laki 1 elfu 54kwenye nhif na hyo 46 chuo.kitatoa utaratibu wa kulipia kwa ajil ya huduma za dispensary ya chuo

vipi kuhusu kulipa ada 30 october mbona direct cost imesimama vilevile na hakuna maelezo ya ziada au ndo trick!
 
vipi kuhusu kulipa ada 30 october mbona direct cost imesimama vilevile na hakuna maelezo ya ziada au ndo trick!

Hiyo trick tu. Ada unaweza lipa tar yoyote direct coast haijapungua chochote ndo usanii huo
 
Back
Top Bottom