Billionaire Donald Trump Vs Barack Obama's $ 7 Bil Programme!!

Billionaire Donald Trump Vs Barack Obama's $ 7 Bil Programme!!

Adrian Stepp

R I P
Joined
Jul 1, 2011
Posts
2,764
Reaction score
2,600
donald trump.jpg

https://twitter.com/realDonaldTrump#
 
Huyu jamaa huwa anapinga kila kinachofanywa na obama,mwaka jana alidai obama sio raia wa marekani na hakuzaliwa usa mpaka obama akalazimika kuonyesha cheti chake cha kuzaliwa hadharani though rekodi za kuzaliwa zipo hata hospitalini lakini jamaa akakomalia cheti,so mi simshangai
 
mzee wa totoz na starehe mbalimbali za wakubwa;donald trump.
 
Huyu Trump aende akaandike vitabu aachane na siasa maana alishapigwa bao na Obama kitambo...
 
hili jamaa jinga sana, huwa linakomalia hoja nyepesi, na linapenda misifa ya kijinga,

ebu lione


donald-trump-300x336.jpg
 
Huyu Trump aende akaandike vitabu aachane na siasa maana alishapigwa bao na Obama kitambo...
eti jitu jinga kama hili na lenyewe lilikuwa na ndoto ya urais wa marekani, anyway hata hapa tanzania mijjitu mijinga kama hii ipo mingi tu na ambayo na yenyewe ina ndoto na urais wa tz.
 
.. only fools like him take his words seriously
 
Huyu ni mwendawazimu mwingine mwenye ubaguzi mpaka kwenye roho. Mimi huwa simfuatilii. United States President akienda Africa na kupoteza pesa lakini akienda Ulaya ni kutaleta pesa.. Huyu mwendawazimu haifahamu Africa. Africa ni bara lililobarikiwa na kila kitu ni mapungufu ya viongozi wetu yametuweka tulipo.. AFRICA IS THE WEALTH CONTINENT EVER MR TRUMP S.t.u.p.i.d i.d.i.ot...nakasirika sana kuona watu wanawadharau Waafrika...tuna mapungufu yetu lakini si kwamba Africa does not belong to the world map.
 
hili jamaa jinga sana, huwa linakomalia hoja nyepesi, na linapenda misifa ya kijinga,

ebu lione


donald-trump-300x336.jpg

hawa ni wahafidhina walioamini ngozi nyeusi haiwezi kumtawala mzungu lazma apshe msafara wa obama sana huyu mpuuz
 
eti jitu jinga kama hili na lenyewe lilikuwa na ndoto ya urais wa marekani, anyway hata hapa tanzania mijjitu mijinga kama hii ipo mingi tu na ambayo na yenyewe ina ndoto na urais wa tz.

wewe una utani na kina Rukuvi aisee
 
eti jitu jinga kama hili na lenyewe lilikuwa na ndoto ya urais wa marekani, anyway hata hapa tanzania mijjitu mijinga kama hii ipo mingi tu na ambayo na yenyewe ina ndoto na urais wa tz.

huenda kwa Tanzania mijitu ya aina hii imeshakuwa marais.........
 
eti jitu jinga kama hili na lenyewe lilikuwa na ndoto ya urais wa marekani, anyway hata hapa tanzania mijjitu mijinga kama hii ipo mingi tu na ambayo na yenyewe ina ndoto na urais wa tz.
Na ndoto zake zimetimia.
 
Back
Top Bottom