Billcanas wanakwepa kodi, TRA tafadhali chukua hatua

Billcanas wanakwepa kodi, TRA tafadhali chukua hatua

mkonozi

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2014
Posts
300
Reaction score
197
Ijumaa tarehe 26.11.2015 rafiki yangu alifika Billcanas Club kwa ajiri ya kujifurahisha ambapo Club hiyo ilikuwa inazinduliwa upya baada ya kufunga mitambo mipya.

Alipofika mlangoni, alilipa kiingilio cha shs 10,000. Akaomba risiti ya malipo lakini hakupatiwa. Akasisitiza na kuambiwa hapa hakuna risiti. Risiti ni haki ya mlipaji. Risiti uonesha serikali inapata kodi kiasi gani kutokana na tozo. Naomba ukumbi huu na kumbi zote zianze kutoa risiti mara moja la sivyo TRA iwafungie.

Ukumbi unaobeba watu 2000. wakilipa 10,000. ni sawa na 20,000,000. Ni pesa nyingi zinapotea, hapo bado vinywaji ninauzwa bei ya juu sana ndani bila risiti yeyote. TRA chunguzeni hizi sekta za burudani, taifa linapoteza mapato humo.
 
Mkuu naona umeugonga ule mjengo pale magogoni.

Ngoja wadau waamke tusikie.
 
pathetic....eleza vizuri toa na ushaidi sio una leta ngonjera humu. toa maelezo yaliyo nyooka ili kuisaidia TRA!
 
ijumaa tarehe 26.11.2015 rafiki yangu alifika billcanas club kwa ajiri ya kujifurahisha ambapo club hiyo ilikuwa inazinduliwa upya baada ya kufunga mitambo mipya.

Alipofika mlangoni, alilipa kiingilio cha shs 10,000. Akaomba risiti ya malipo lakini hakupatiwa. Akasisitiza na kuambiwa hapa hakuna risiti.

Risiti ni haki ya mlipaji. Risiti uonesha serikali inapata kodi kiasi gani kutokana na tozo. Naomba ukumbi huu na kumbi zote zianze kutoa risiti mara moja la sivyo tra iwafungie.

Ukumbi unaobeba watu 2000. Wakilipa 10,000. Ni sawa na 20000000.

Ni pesa nyingi zinapotea, hapo bado vinywaji ninauzwa bei ya juu sana ndani bila risiti yeyote.

Tra chunguzeni hizi sekta za burudani, taifa linapoteza mapato humo.

Mkonozi, mzee wa sina habari a.k.a selemaa

tanzania kwanza, vikojozi baadaye


hata mbowe wala siamini, kuzomez kote kule pamoja kelele bungeni , narudia tena hata siamini
 
Haha watamkjua msukuma...yeye ni kutumbua tuuu....i love my brave prezda.
 
pathetic....eleza vizuri toa na ushaidi sio una leta ngonjera humu. toa maelezo yaliyo nyooka ili kuisaidia TRA!

Ngonjera iko wapi? Nimekueleza kwamba hawatoi risiti. Na risiti ni haki yetu walipaji wa tozo yeyote ile.
Nimeomba pia kumbi zote zichunguzwe, sio Billcanas tu.

Sasa unataka niwaambie nini TRA

Tanzania KWANZA, vikojozi baadaye
 
Huyo Makengeza afilisiwe mali zote za urithi...mshenzi mkubwa huyo...yani wananchi tunaangaika hatupati huduma kumbe halipi kodi ya biashara zake!?!😠
 
Hao walokuingiza ni mafisadi tu walikuwa wanamwibia mbowe! Ulitakiwa upewe ticket!
 
Ijumaa tarehe 26.11.2015 rafiki yangu alifika Billcanas Club kwa ajiri ya kujifurahisha ambapo Club hiyo ilikuwa inazinduliwa upya baada ya kufunga mitambo mipya.

Alipofika mlangoni, alilipa kiingilio cha shs 10,000. Akaomba risiti ya malipo lakini hakupatiwa. Akasisitiza na kuambiwa hapa hakuna risiti.

Risiti ni haki ya mlipaji. Risiti uonesha serikali inapata kodi kiasi gani kutokana na tozo. Naomba ukumbi huu na kumbi zote zianze kutoa risiti mara moja la sivyo TRA iwafungie.

Ukumbi unaobeba watu 2000. wakilipa 10,000. ni sawa na 20000000.

Ni pesa nyingi zinapotea, hapo bado vinywaji ninauzwa bei ya juu sana ndani bila risiti yeyote.

TRA chunguzeni hizi sekta za burudani, taifa linapoteza mapato humo.

Mkonozi, mzee wa sina habari a.k.a selemaa

Tanzania kwanza, vikojozi baadaye

kama unaushaidi nenda karipoti 3% ya kodi wanayokwepa ni yako!
 
Inakuwaje mtu mwenye kiduka cha shanga kariakoo aambiwe awe na mashine ya efd halafu danguro kubwa kama hilo lisiwe na mashine za efd kwanini? tena ingewezekana wawe wanawasilisha mahesabu tra kila siku asubuhi kwa mauzo ya jana yake.

Pale kuna viingilio, vinywaji, nyama choma, malipo ya wasanii na madj haya yote hayalipiwi ushuru na kodi halafu huyu mtu tunamchekea tu. Hizi night clubs ziko ngapi nchi nzima? tunapoteza mapato kiasi gani?

kwanza kabla ya kufunguliwa NEMC walikagua kuona kama mazingira yako safi? kuna hewa ya kutosha? maji taka wanatiririsha wapi manake bar kama hiyo mikojo yeke usiombe.
 
Ijumaa tarehe 26.11.2015 rafiki yangu alifika Billcanas Club kwa ajiri ya kujifurahisha ambapo Club hiyo ilikuwa inazinduliwa upya baada ya kufunga mitambo mipya.

Alipofika mlangoni, alilipa kiingilio cha shs 10,000. Akaomba risiti ya malipo lakini hakupatiwa. Akasisitiza na kuambiwa hapa hakuna risiti.

Risiti ni haki ya mlipaji. Risiti uonesha serikali inapata kodi kiasi gani kutokana na tozo. Naomba ukumbi huu na kumbi zote zianze kutoa risiti mara moja la sivyo TRA iwafungie.

Ukumbi unaobeba watu 2000. wakilipa 10,000. ni sawa na 20000000.

Ni pesa nyingi zinapotea, hapo bado vinywaji ninauzwa bei ya juu sana ndani bila risiti yeyote.

TRA chunguzeni hizi sekta za burudani, taifa linapoteza mapato humo.

Mkonozi, mzee wa sina habari a.k.a selemaa

Tanzania kwanza, vikojozi baadaye
Mkuu, wewe ukienda kunywa bar au kula kwa mama lishe unadai risiti ya TRA?
 
Jamani huyu jamaa keshatoka mwanza? tunaomba rpc na mkuu wa mkoa wamzuie asiondoke kwanza.
 
Back
Top Bottom