Bilioni 18.77!!

Dam55

JF-Expert Member
Oct 8, 2015
5,641
11,958
Kumbe saula la elimu bure linachukua kiasi kikubwa sana cha pesa.
Gharama za uendeshaji ni kubwa mno.
Hii inaweza kuwa ni chanzo kikubwa cha upotevu wa pesa kwa Raia tunaouona sasa.
Kama serikali inatoa kiasi cha Billion 18.77 kwa kila mwezi kuendesha program ya Elimu bure. Kwa mwaka ni Billion 225.24.

Hii inaigharimu sana serikali ya awamu ya tano.

Kuhamia Dodoma na ununuzi wa ndege.
Kwa pamoja vimeleta mtikisiko mkubwa sana.
Kweli tunakusanya mapato makubwa kwa sasa lakini kwa matumizi haya Makubwa hasa hapa kwenye Elimu bure lazima hali za uchumi wa mtu mmoja mmoja utayumba.

Idadi ya wanafunzi inazidi kuwa kubwa na hivyo gharama kuzidi kuongezeka.
Hakika huu ni mzigo mzito kwa serikali ya awamu ya tano.

Hata hivyo pia bado Elimu yenyewe haikidhi viwango.

Mungu tusaidie Watanzania.
 
Lumumba buku 7 sijui wapo wapo watakuja kukushambulia wao hawataki mumeo wao ashikwe makalio
 
Labda, Huko kwengine. Ila hapo elimu bure nakupinga. Vyonzo vipo vya mapato. Watafute tuu vyanzo vingine, Ila Elimu ibaki tuu bure kiukweli.
 
  • Mlianza kupinga ununuzi wa ndege, Mkaja reli (Mfano: Hussein Bashe) na sasa mnapinga elimu bure
  • Hakika mmeishiwa hoja kwenye huu utawala

Mkuu Mimi sina lengo la kupinga Elimu bure, ila nimezungumzia gharama zitokanazo na Elimu bure.
 
Labda, Huko kwengine. Ila hapo elimu bure nakupinga. Vyonzo vipo vya mapato. Watafute tuu vyanzo vingine, Ila Elimu ibaki tuu bure kiukweli.
Kutoa elimu bure sio kitu kibaya mkuu.
Hata hivyo bado haipotezi maana kuwa serikali inatumia pesa nyingi sana katika uendeshaji. Na hivyo kuleta athari kwenye uchumi.
Kwasababu hapo pesa zinatoka tu na haziingii.
 
Mkuu umejipagaje kukabiliana na mataahira ya Lumumba? Haki ya nani hayatakubakiza!! Ila haya ndo madhara ya ku-copy kila kitu, waliposikia UKAWA wameahidi elimu bure mpaka versity nao wakajidai kukurupuka wacha yawatokee puani!! Wenzao walikuwa na akili ya kuongeza mapato kupitia bandari, wenyewe walipoingia wakaua bandari sasa pesa itatoka wapi? Mpaka anyeeeeeee!!
 
Mkuu umejipagaje kukabiliana na mataahira ya Lumumba? Haki ya nani hayatakubakiza!! Ila haya ndo madhara ya ku-copy kila kitu, waliposikia UKAWA wameahidi elimu bure mpaka versity nao wakajidai kukurupuka wacha yawatokee puani!! Wenzao walikuwa na akili ya kuongeza mapato kupitia bandari, wenyewe walipoingia wakaua bandari sasa pesa itatoka wapi? Mpaka anyeeeeeee!!

Waache waje tu, mkuu.
 
Kumbe saula la elimu bure linachukua kiasi kikubwa sana cha pesa.
Gharama za uendeshaji ni kubwa mno.
Hii inaweza kuwa ni chanzo kikubwa cha upotevu wa pesa kwa Raia tunaouona sasa.
Kama serikali inatoa kiasi cha Billion 18.77 kwa kila mwezi kuendesha program ya Elimu bure. Kwa mwaka ni Billion 225.24.

Hii inaigharimu sana serikali ya awamu ya tano.

Kuhamia Dodoma na ununuzi wa ndege.
Kwa pamoja vimeleta mtikisiko mkubwa sana.
Kweli tunakusanya mapato makubwa kwa sasa lakini kwa matumizi haya Makubwa hasa hapa kwenye Elimu bure lazima hali za uchumi wa mtu mmoja mmoja utayumba.

Idadi ya wanafunzi inazidi kuwa kubwa na hivyo gharama kuzidi kuongezeka.
Hakika huu ni mzigo mzito kwa serikali ya awamu ya tano.

Hata hivyo pia bado Elimu yenyewe haikidhi viwango.

Mungu tusaidie Watanzania.

Matumizi kwenda Elimu sio Mzigo Bali ni Uwekezaji Wenye Tija kwa Taifa lolote. Wahenga walisema "If you think Education is Expensive, Try Ignorance". Unaongelea Elimu Haikidhi Viwango, ni sawa, maana yake itabidi kuspend zaidi ya hizo Bilioni 200 zinazokutoa roho. Tunaelekea huko kwa kadri Uchumi utakavyozidi kukua
 
Kumbe saula la elimu bure linachukua kiasi kikubwa sana cha pesa. Gharama za uendeshaji ni kubwa mno.Hii inaweza kuwa ni chanzo kikubwa cha upotevu wa pesa kwa Raia tunaouona sasa.
Kama serikali inatoa kiasi cha Billion 18.77 kwa kila mwezi kuendesha program ya Elimu bure. Kwa mwaka ni Billion 225.24. Hii inaigharimu sana serikali ya awamu ya tano.

Kuhamia Dodoma na ununuzi wa ndege.
Kwa pamoja vimeleta mtikisiko mkubwa sana.
Kweli tunakusanya mapato makubwa kwa sasa lakini
Tunaendelea kuangalia tuone kama watashindwa ama la
Nalog off


Mungu tusaidie Watanzania.


Link Rais Magufuli: Fyatueni watoto wa kutosha, nitawasomesha bureee!!

Link2. Haya ndo maoni ya Prof. Shivji baada ya wenye vyeti feki kufutwa kazi
 
Kumbe saula la elimu bure linachukua kiasi kikubwa sana cha pesa.
Gharama za uendeshaji ni kubwa mno.
Hii inaweza kuwa ni chanzo kikubwa cha upotevu wa pesa kwa Raia tunaouona sasa.
Kama serikali inatoa kiasi cha Billion 18.77 kwa kila mwezi kuendesha program ya Elimu bure. Kwa mwaka ni Billion 225.24.

Hii inaigharimu sana serikali ya awamu ya tano.

Kuhamia Dodoma na ununuzi wa ndege.
Kwa pamoja vimeleta mtikisiko mkubwa sana.
Kweli tunakusanya mapato makubwa kwa sasa lakini kwa matumizi haya Makubwa hasa hapa kwenye Elimu bure lazima hali za uchumi wa mtu mmoja mmoja utayumba.

Idadi ya wanafunzi inazidi kuwa kubwa na hivyo gharama kuzidi kuongezeka.
Hakika huu ni mzigo mzito kwa serikali ya awamu ya tano.

Hata hivyo pia bado Elimu yenyewe haikidhi viwango.

Mungu tusaidie Watanzania.

Wabadilishe tu mfumo wa kodi. Kodi ilipwe na wanunuzi directly.

Wanunuzi mil 20 kila mmoja akilipa kodi ya elfu moja kwa siku ni bilioni 20 kwa siku.
 
Bask hiyo pesa sio nyingi katika swala la elimu....resources na population Tz vinaruhusu
 
Back
Top Bottom