Jamaa kasema antivirusHahahaaa, hivi Window OS nazo huwa zinalipiwa.
Ni swali jipya, nimesahau kuweka neno nauliza swali.Jamaa kasema antivirus
Wapo pia wanao nunua OS mkuuNi swali jipya, nimesahau kuweka neno nauliza swali.
Nashida na aliewahi kufanya hivo, kuna moja mbili tatu nahitaj kujua.Wapo pia wanao nunua OS mkuu
Nashida na aliewahi kufanya hivo, kuna moja mbili tatu nahitaj kujua.
Mkuu fafanua kidogoHuyu mwamba alikuwa na maisha mengine haeleweki!
Ova
Alikuwa ana maisha mengine anaishi utafikiri siyo mtu wa IT,utasema mafia fulaniMkuu fafanua kidogo
ndio zinalipiwa ,,,,sababu zina licence inaexpire kila mwaka ,,,huwa inahitaji kurenew,,,,tatizo watu wengi wamezoea kutumia njia za panya (cracked)Hahahaaa, hebu niulize kitu hivi na Window OS nazo huwa zinalipiwa.
Watu wamezoea piracy, ukimwambia anunue proggie au OS kama hivyo anakushangaa sana. Naingia thebiratebay nachukua ninachotaka kwa cost ya 5,000(bundle), then maisha yanaendelea. Ila huo nao ni wizi kama wizi mwingine...ndio zinalipiwa ,,,,sababu zina licence inaexpire kila mwaka ,,,huwa inahitaji kurenew,,,,tatizo watu wengi wamezoea kutumia njia za panya (cracked)