DOKEZO Bili za Dawasa mwezi huu ni kufuru. Waziri intervene please

DOKEZO Bili za Dawasa mwezi huu ni kufuru. Waziri intervene please

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Mookiesbad98

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2015
Posts
3,571
Reaction score
4,820
Kila nayemuuliza anakumbia bili ya maji ya mwezi January inayotumwa mwezi huu imekuwa kubwa kupita maelezo.

Binafsi nyumba nayolipa bili unit 12 bili mwezi huu imekuja unit 125.

Nadhani kuna matatizo ya mfumo au watu hawamuogopi Rais huko Dawasa. Enzi ya Magufuli hakuna ambaye anaweza kuchezea mfumo wa bili za maji maana walikuwa wanajua kitakachowapata.

Jirani mmoja nyumba haijaisha na hana ujenzi analipaga unit 3 kaletewa bili unit 20.

Dawasa tunaomba maelezo ya kina na tuombwe radhi kwa matatizo ya mfumo au ndio mnakusanya bila mantiki
 
Mkuuu kama uliwapigia kura CCM basi enjoy mziki kama hukuwapigia kura pole sanaa kiongozi....
 
Mimi nataka haya mambo yawe hivi hivi ili hasira itupate sote, na kama mambo hayatabadorika, soon wafanya kazi wa umma mjiandae kwenye mishahara yenu, kucheleweshewa saana na au kukopwa mwezi hadi mwezi inaofuata ndo unalipwa kwa mwezi wa nyuma yake

Tunaposema CCM ni wauwaji na hawafai, sote tuitikie hivyo
 
Kila nayemuuliza anakumbia bili ya.maji ya mwezi january inayotumwa mwezi huu imekuwa kubwa kupita maelezo.

Binafsi nyumba nayolipa bili unit 12 bili.mwezi huu imekuja unit 125.

Nadhani kuna matatizo ya mfumo au watu hawamuogopi Raisi huko Dawasa. Enzi ya magufuli hakuna ambaye anaweza kuchezea mfumo wa bili za maji maana walikuwa wanajua kitakachowapata.

Jirani mmoja nyumba haikaisha.na hana.ujenzi analipaga.unit 3 kaletewa bili unit 20.

Dawasa tunaomba maelezo ya kina na tuombwe radhi kwa matatizo.ya mfumo au ndio mnakusanya bila mantiki
hiv huwa ni nini maana namimi nimekumbana nalo sana unakuta kwa mwezi maji yametoka mara nne lakini bili inakuja kubwa..niliwaambia waje wanichekie mita kama ipo vizuri wakaja wakadai haina shida ukicheki bili kwamwezi Unit 40 wakati hapo mwanzo unit zilikuwa 5-12 na matumiz ni yale yale..
 
Hii issue iko very serious tunaomba waziri aweso aingie kazini. Naomba Jamii.forums mada yangu muirushe.na.insta tupate mrejesho bili ya mwezi.huu ni kubwa balaa pasipo mashiko
 
Back
Top Bottom