Bila Vetting Police wetu haeriwawezi on umuhimu wa kufuata Sheria

Wenzetu hawa na kwa katiba yao wana songa mbele. Sisi kwetu Polisi wamegeuka miungu watu. Na tangu wapate na ruksa ya kujipatia pesa za kubrashi viatu mbona Twafa?

Ona kwa wenzetu wanafahamu wao ni watumishi wa watu si watumishi wa watawala kuwakandamiza wananchi:

Kavuludi team to start vetting traffic police in 6 counties

MODs tafadhalini mrekebishe title: Bila Vetting Police wetu hawawezi ona umuhimu wa kufuata Sheria
 
Back
Top Bottom