Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,417
- 30,927
Hebu tuwàsaidie hawa wenzetu kujibu swali hili japo naamini watumishi wote hawajaongezewa mishahara kwa miaka mitano mfululizo.
Mimi sio mwajiriwa wa Government Ila hebu leo nivae viatu vyao.
Imagine wewe ndio mwenyekiti wa chama cha siasa taifa unakuja kumuomba kura mwalimu ambae hujamuongeza mshahara wake kwa miaka mitano na Kama haitoshi ukampiga makato ya bodi ya mikopo ya 8% kibabe je mwalimu huyu unamshawishije akupe kura leo?
Hebu nisaidieni Mimi nimeshindwa.
Tiririka namna utakavyomshawishi mwalimu huyu akupe kura, tena mwaka huu na asahau ubaya uliomfanyia.
Kazi kwenu mabingwa wa kutongoza!
Mimi sio mwajiriwa wa Government Ila hebu leo nivae viatu vyao.
Imagine wewe ndio mwenyekiti wa chama cha siasa taifa unakuja kumuomba kura mwalimu ambae hujamuongeza mshahara wake kwa miaka mitano na Kama haitoshi ukampiga makato ya bodi ya mikopo ya 8% kibabe je mwalimu huyu unamshawishije akupe kura leo?
Hebu nisaidieni Mimi nimeshindwa.
Tiririka namna utakavyomshawishi mwalimu huyu akupe kura, tena mwaka huu na asahau ubaya uliomfanyia.
Kazi kwenu mabingwa wa kutongoza!