Uchaguzi 2020 Bila unafiki unamshawishije mwalimu ambaye hajaongezwa mshahara kwa miaka mitano na bado ukambambika makato ya bodi kibabe aipende CCM?

Superbug

JF-Expert Member
Jan 31, 2018
12,417
30,927
Hebu tuwàsaidie hawa wenzetu kujibu swali hili japo naamini watumishi wote hawajaongezewa mishahara kwa miaka mitano mfululizo.

Mimi sio mwajiriwa wa Government Ila hebu leo nivae viatu vyao.

Imagine wewe ndio mwenyekiti wa chama cha siasa taifa unakuja kumuomba kura mwalimu ambae hujamuongeza mshahara wake kwa miaka mitano na Kama haitoshi ukampiga makato ya bodi ya mikopo ya 8% kibabe je mwalimu huyu unamshawishije akupe kura leo?

Hebu nisaidieni Mimi nimeshindwa.

Tiririka namna utakavyomshawishi mwalimu huyu akupe kura, tena mwaka huu na asahau ubaya uliomfanyia.

Kazi kwenu mabingwa wa kutongoza!
 
Mimi nimewaza labda mwanasiasathe huyu ataanza hivi;

Unajua ndugu mwalimu nimekujengea flaiova (japo mwl yupo kakonko).

Unajua mwalimu nimekununulia bombadia kwi kwi kwi (mwl na bombadia wapi na wapi).

Unajua mwl nimekujengea bwawa la umeme (khaaaaaaaa mwl anashangaa).

Mwalimu niombee nikamilishe standaj geji (hapa ticha anafariki kwa presha).
 
Mimi nimewaza labda mwanasiasathe huyu ataanza hivi;

Unajua ndugu mwalimu nimekujengea flaiova (japo mwl yupo kakonko)...
😃😃 Mkuu wewe huyo huyo ndo mleta uzi halafu wewe huyo huyo ndo mtoa comments 😁 waachie walimu tuone wanachangia Nini hapo!.

Meaning no offense 😅.
 
Kwa niaba ya walimu wenzangu tunasema mshahara unatosha na wala hatuhitaji nyongeza na kura tutampa Magufuli.
CCM oyee...😅
 
Walimu wanaelewa sana ,hawana tatizo labda ni were tu huelewi kwa nini most shahara haipandi.
Tunajenga nchi kwanza.
Ndio maana nimewaomba walimu waache unafiki waseme ukweli kwasababu nasikia mshahara wako ukiathiriwa kwa namna yoyote ile inaathiri mafao Yao ya uzeeni ya kustahafu ! Sasa je kama wanakubalina na kujenga nchi wanajua consequences zake baadae?

Maana Kama tu sasahivi wanaweka kadi kwa wakopeshaji vipi wakistahafu nguvu hakuna Tena nawakati huo mshawaingiza chakike kwamba hatuwaongezi mishahara tunajenga nchi?
 
Back
Top Bottom