johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,142
Nitamuomba mbunge wangu wa jimbo la Kawe Gwajima apeleke mswada Binafsi
Yafanyike marekebisho Madogo ya Katiba ya JMT ili kuondoa kipengele kinacholazimisha Waziri kuwa mbunge
Kwamba Waziri ateuliwe na Rais wa JMT kisha akathibitishwe na Bunge
Naomba mniunge mkono
Mlale Unono!
Yafanyike marekebisho Madogo ya Katiba ya JMT ili kuondoa kipengele kinacholazimisha Waziri kuwa mbunge
Kwamba Waziri ateuliwe na Rais wa JMT kisha akathibitishwe na Bunge
Naomba mniunge mkono
Mlale Unono!