seifutz
Member
- Jul 18, 2021
- 34
- 113
Maisha ni gharama hakuna maisha kama utakwepa gharama. Chochote unachotaka kiwe lazima utumie gharama ndio kiwe. Gharama inaweza kuwa ya muda au mali lakini lazima utumie gharama kutimiza jambo unalotaka.
Mara zote watu wanaokwepa gharama katika maisha yao huwa ni dumavu kimaendeleo. Hakuna mafanikio ya kweli bila kutumia gharama. Kama unawaza mafanikio without cost basi hiyo ni ndoto iliopoteza uhalisia.
Utawekeza vipi kama huna gharama?. Utafanya vipi kazi kama hutaki kutumia gharama. Hata familia huwezi kuanzisha kama hutaki kutumia gharama. Gharama ndio maisha na maisha ndio gharama. Tumia gharama ili upate thamani yenye gharama.
Siri ya mafanikio ya chochote katika hii dunia ni wewe kuacha uvivu na kutokwepa gharama.
Hakuna mafanikio ya shortcut katika hii dunia, chochote unachokiona leo kimesimama basi kuna watu walitumia gharama zao na muda wao kukisimamisha. Amini kwenye gharama na toka kwenye shortcut kwasababu shortcut huwa haina matokeo mazuri.
Mara zote watu wanaokwepa gharama katika maisha yao huwa ni dumavu kimaendeleo. Hakuna mafanikio ya kweli bila kutumia gharama. Kama unawaza mafanikio without cost basi hiyo ni ndoto iliopoteza uhalisia.
Utawekeza vipi kama huna gharama?. Utafanya vipi kazi kama hutaki kutumia gharama. Hata familia huwezi kuanzisha kama hutaki kutumia gharama. Gharama ndio maisha na maisha ndio gharama. Tumia gharama ili upate thamani yenye gharama.
Siri ya mafanikio ya chochote katika hii dunia ni wewe kuacha uvivu na kutokwepa gharama.
Hakuna mafanikio ya shortcut katika hii dunia, chochote unachokiona leo kimesimama basi kuna watu walitumia gharama zao na muda wao kukisimamisha. Amini kwenye gharama na toka kwenye shortcut kwasababu shortcut huwa haina matokeo mazuri.