Bikra zipo nyingi sana huku pwani

Bikra zipo nyingi sana huku pwani

mkunga wa jadi

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2025
Posts
208
Reaction score
431
Huku Pwani kuna bikra nyingi sana yaani kila ukienda kila nyumba kuna uwezekano wa kukuta na wasichana bikra kila kona yaani wazazi wa pwani wanajitahidi sana kulea watoto wao na ni furaha kubwa sana kwao mtoto kuolewa kuwa bikra aiseee

Na ni ngumu sana kukuta mabikra katika mikoa ya bara yaani watu wa bara wanaona sifa watoto wao kutolewa ubikra mapema sana tofauti na mikoa ta Pwani
 
FB_IMG_17312671681316561.jpg
 
Kuna jamaa mmoja alioa binti maeneo hayo na hakuwahi kukutana naye kimwili, utaratibu hadi utakapo funga ndoa ndio ruksa mizaganuano. Basi kijana baada ya harusi wakafanya fungate.

Aliporudi akaonana na baba mkwe na kuanza kumshukuru kwa furaha kwa kumtunza Binti kuwa na bikra hadi ukubwani.

Baba mkwe akamuangalia kijana akamwambia nenda kawashukuru wenzako walioitunza bikra mkeo.

Jamaa akazimia.
 
Huku Pwani kuna bikra nyingi sana yaani kila ukienda kila nyumba kuna uwezekano wa kukuta na wasichana bikra kila kona yaani wazazi wa pwani wanajitahidi sana kulea watoto wao na ni furaha kubwa sana kwao mtoto kuolewa kuwa bikra aiseee

Na ni ngumu sana kukuta mabikra katika mikoa ya bara yaani watu wa bara wanaona sifa watoto wao kutolewa ubikra mapema sana tofauti na mikoa ta Pwani
Mbona hata wanaopiga miguu yote wengi ni wa wani
 
Back
Top Bottom