johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,330
- 142,541
Kampuni ya Mobbet inayochezesha kamari ikiwatumia wasanii Mpoki na Kajala imelipa kodi ya sh 2.1 bil kwa kamari iliyochezwa mwezi September pekee. Hongereni wazee wa mikeka, Source ITV habari!!