johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,957
- 141,948
Kampuni ya Mobbet inayochezesha kamari ikiwatumia wasanii Mpoki na Kajala imelipa kodi ya sh 2.1 bil kwa kamari iliyochezwa mwezi September pekee. Hongereni wazee wa mikeka, Source ITV habari!!