Bikira/mimba???

Bikira/mimba???

By the way hata ufanye nin mwanamke akikutoa moyoni hakumbuki chochote...... hayo mambo ya cjui nimeweka alama cjui i hit it first ni majigambo tu na ujinga ambao mmeukumbatia ndo mana hatuendeleiiiii

yaani ukiona hivyo ujue huyo mtu anaweakness na inferiority complex inamsumbua hapo...........
 
hivi ujanja si ni ujinga?

sasa hapa unauliza mjinga ni yupi, si ndiyo?
 
Jukwaaa liko hili liko makini,yawezekana linaonekana swali la kijinga kwako au lenye maana.
Nimeuliza hivyo coz nimekuta mjadala unaendelea kuhusu suala hilo kuna baadhi wanadhani ni ufahari kumbikiri mwanamke ati utakua umeweka sahihi ya kudumu hatokusahau kamwe vile vile hata ukimwomba mgegedo baade hatochomoaaaaaaaaa....
Kwa upande mwingine wanaona kumpa mimba ni ujanja pia ni heshima.
Nadhan umeshawahi kuusikia/kuona video ya wimbo wa ray j - i hit it first
Jins anavyojigamba yeye alipita kwanza kwa kim kadarshian.
Kwa hio usidharau uzi huu ni mambo yanayotokea kwenye jamii zetu.
Ntarudi tenaaa baadae
ndio maana umeambiwa Mada hii ni ya watoto litafutwe jukwaa la under 15 (wale wote waliomaliza Primary school)
kwani MLA NI MLALEO MLA JANA KALA NINI?
 
Back
Top Bottom