Kati ya mwanaume aliyemtoa mwanamke/binti bikira au aliyemp mimba na kumzalisha yupi mjanja??
mwanamke peke yake ndio mjanja, bikra inaweza kuwa ya mchina na mimba inawezekana ikawa sio yako
Kati ya mwanaume aliyemtoa mwanamke/binti bikira au aliyemp mimba na kumzalisha yupi mjanja??
nimeipenda hii
By the way hata ufanye nin mwanamke akikutoa moyoni hakumbuki chochote...... hayo mambo ya cjui nimeweka alama cjui i hit it first ni majigambo tu na ujinga ambao mmeukumbatia ndo mana hatuendeleiiiii
basi sema , apigwe tu........
mpigeni tu,tumechoka!!!apigwe tu!
apigwe tuuuu
ndio maana umeambiwa Mada hii ni ya watoto litafutwe jukwaa la under 15 (wale wote waliomaliza Primary school)Jukwaaa liko hili liko makini,yawezekana linaonekana swali la kijinga kwako au lenye maana.
Nimeuliza hivyo coz nimekuta mjadala unaendelea kuhusu suala hilo kuna baadhi wanadhani ni ufahari kumbikiri mwanamke ati utakua umeweka sahihi ya kudumu hatokusahau kamwe vile vile hata ukimwomba mgegedo baade hatochomoaaaaaaaaa....
Kwa upande mwingine wanaona kumpa mimba ni ujanja pia ni heshima.
Nadhan umeshawahi kuusikia/kuona video ya wimbo wa ray j - i hit it first
Jins anavyojigamba yeye alipita kwanza kwa kim kadarshian.
Kwa hio usidharau uzi huu ni mambo yanayotokea kwenye jamii zetu.
Ntarudi tenaaa baadae
Kuna umuhimu wa kuwa na jukwaa la under 15