Bikira miaka 30

Soraya

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2011
Posts
202
Reaction score
65
Ni Mwanamke mwenye umri wa miaka 30,ambaye anatarajia kufunga ndoa hivi karibuni na hajawahi kujamiiana na mwanamume anayetarajia kufunga naye ndoa wala hajamfahamisha kama yeye ni bikira katika umri huo wa miaka 30,kwani anajisikia aibu kubwa kuwa bikira katika umri huo.

Hivyo alichopanga kufanya kabla ya siku ya harusi ni kwenda clinic au kitui chochote cha afya kutoa bikira hiyo.

SWALI: Je ungepewa nafasi ya
kumshauri, ungemshauri aendelee na huo mpango wake au ungempa
ushauri gani?

Je wewe kama mwanaume,ungekuwa ndiyo huyo mume mtarajiwa na siku hiyo ukakuta bibi harusi ni bikira katika umri huo wa miaka 30 ungeipokeaje hali hiyo?

Ni kisa cha kweli.
 
Akiitoa, bado ataonekana unexperienced siku ya siku na huenda ika muirritate au kumdisappoint mumewe! Hivyo ni bora acome clean na kumueleza mchumbewe ukweli!

Uzuri wanaume wa kibongo/afrika bado wanashobokea bikira so it is a plus to her; ngoja waje wacomfirm wenyewe!
 

Hilo mbona si jambo la ajabu? Ninaawafahamu watatu ambao walipoteza u-bikra wao siku ya harusi katika umri wa 33-35 mmojawao ni shemeji yangu.
 
mwambie haache zakindezi, kwann hasingetoa muda wote uo wa miaka 30 aje atoe na kidole? mwache jamaa akute utandu wake hapo, hajue kua ulikua njema! ila ilo la tigo mhhh!
 

Kuna tofauti kubwa sana kati ya bikira na kuwa hajawahi fanya ngono. Inaweza ikawa hajawahi kufanya ngono lakini bado asiwe na bikira. Kutowahi kufanya ngono sio guarantee ya kuwa bikira. Bikira ni kizinda kinachoweza kuondoka kwa mazingira tofauti tofauti ingawaje kubwa zaidi ni ngono.

Na hata kama bado anayo, bado kuna tofauti kati ya bikira ya (say) msichana wa miaka 16 na mwanamke mwenye huo umri wa miaka 30. Katika umri huo, jama anaweza akafanya nae ngono kwa mara ya kwanza na wala asihisi chochote.....

Labda tofauti atakayoiona ni ile ya hofu ya mwanamke mwenyewe kama vile ya kutaka kujihami labda kwa kutaka kubana miguu na mambo mengine kama hayo. but am surem, kama mwanamke atakuwa relaxed, kuna uwezekano mkubwa jamaa asi-feel chochote coz' nyonga zake zimeshatanuka vya kutosha!
 
Dah! Yaani kweli tumefika mahali ambapo mwanamke ama mwanaume kuolewa na bikira ni kitu cha fedheha?! Maadili yameenda wapi? Kweli? Soon tutaambiwa ni fedheha kwa mwanamke ama mwanaume kutokua na nyumba ndogo!

Aisee! Soon itakua fedheha kutokuzaa nje ya ndoa hata kwa wanawake, manake niliwahi kushawishiwa eti kama kikivunjwa chungu ama kukiwa na laana ya ukoo, basi kama mwanamama kachakachua walau kuna ambao hawataathirika!

I won't be surprised Mungu akikiri wanadamu tumemshinda!
 
Huyo hana haja ya kuotoa hospitaal,amueleze tu ukweli mwenza wake maana siku ya siku ataonekanaa hajui majamboz kitandani na mume atakuwa bored
amwaambie tu ili mume ainde naae taratibu na kumfundisha nini cha kufanya
Ila pia kama mchangiaji alivyosema hapo juu inawezekana kabisa kusitoke damu wala kusiwe na tofauti
 
Huyo Mwanamke hata hajitambui! Sasa kama alikuwa mejitunza kwa ajili ya nini? Siku hizi ni aibu kukutwa na bikira? Aende kwa macheni akaiuze wapo wataiondoa!
 
Hiyo ni advantage kwa huyo dada. Inaonyesha jinsi alivyo muaminifu ktk maisha yake kitu ambacho kwa kiasi kinaweza kujenga imani kubwa kwa mume endapo bikira hiyo itakuwa si ya kuchakachuliwa!
 
Yaani asithubutu kuindoa!!! Maana jamaa atajua kuwa kumbe kuna majamaa yalikuwa yakiipiga! Lakini akibakia hivyo na akamueleza mumewe kuwa hajawahi hivyo kuwa careful na hata kama hajui cha kufanya ataoneshwa!

Lakini afanye operation Ili jamaa akijaribu tu break*******. Halfu shughuli yenyewe hajui hapo atakuwa ameharibu na jamaa ataenda nje tuuuuuu!!! Huyu mdada hatakuwa na sababu ingine hawezi kusema hjafanya ushahidi wa kimazingira utamsuta!!!
 
Hapa kuna mawili...kwanza kuna bikra kama dhana (yaani purity) na pili kuna bikra kwa maana ya maumbile (uwepo wa hymen). Kama walivyosema wengine hapo juu, bikra kwa maana ya maumbile inaweza isiwepo lakini lakini bikra kama dhana (ukweli kwamba huyo dada hakuwahi kukutana na mwanaume) bado ikawepo! Hata kuwepo kwa bikra ya maumbile in itself sio conclusive evidence kwamba hakuwahi 'kukutana na mwanaume' (Note: sio wanaume wote wanaweza kutoa bikra katika siku ya kwanza kwa mfano...wakati mwingine ngono inaweza kufanyika bila ya kuwepo kwa significant insertion ya uume kwenye uke na hivyo bikra kuwa spared!....na kuna wengine wanaenda mbali zaidi kwa kuanza kutumia 'mlango wa pili' kupreserve ule wa kwanza ambao wanajua kuna scrutiny kubwa!).

Kwa huyo dada kukaa kimya kuna risk pia ya mwanaume kudhania kuwa ni bikra fake ('ya kichina'!) kutegemeana na anavyomchukulia huyo dada. So the best way ni kumwambia ukweli huyo mumewe kuwa hajawahi kukutana na mwanaume (bila kusema hasa kwamba kuna bikra kwa maana ya maumbile ama la - unless kama anauhakika wa kitabibu wa uwepo wa ile hymen).

Trust nobody!
 
mmmh nilitaka kukuuliza swali kama ulivyoanza sentensi "mimi ni mwanamke........ any way baada ya kusoma hadi mwisho nimeelewa " sasa napita nitarejea kuchangia baadaye
 
Kwanza huyo dada anatakiwa kujivunia bila kuona aibu kwa sasabu hadi kufikia umri huo amekwepa mengi na ameshinda mengi sana..na mumewe anacho cha kuzungumza mbele ya mkewe na hawezi kuwa na wasiwasi kuwa mke wangu anachakachuliwa na mtu..hii inaonyesha huyo dada jinsi alivyo mwaminifu juu yake mwenyewe na kwa mume wake mwenyewe na mbele za muumba wake..

wadada wengi wangekuwa waaminifu namna hii matatizo mengi yaliyoko kwenye ndoa tusingekuwa tunasikia..sio leo demu yuko anachakachuliwa na jamaa yake kesho ndoa na jamaa mwingine..
 

King'asti..yaani nimesoma nimebaki nashangaa.... ni kweli maadili yamekwisha.Tunamhitaji Mungu haswaa.....

Ushauri wangu kwa huyo binti, wala asijaribu kufanya kitu chochote. Kuwa bikira wala sio kitu cha ajabu, tena ni fahari kubwa....hope mleta mada utamfikishia ujumbe. Sincerely I am praying for her, aone ni fahari kufikia ndoa kabla hajachakachuliwa.
 
Reactions: BAK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…