Wanaovaa bikini tabia zao hazina tofauti na wanaovaa kikuku
Uhuru wa mwili wangu lazma tena cku izi ata izo bikini atuvai wala chupi zina kansa 😝😝mwisho mtatatembea uchi kwa kutaka kila uhuru
#misschagacc: mzizi mkavu
cc: miss chaga
cc: pasco
cc: mshana jr
cc: mamndenye
cc: swiss
cc: masai dada
michango yenu muhimu inahitajika
chupi zina kansa??..Uhuru wa mwili wangu lazma tena cku izi ata izo bikini atuvai wala chupi zina kansa 
chupi zina kansa??..
Maelezo kidogo kuhusu 'bikini'. Hili ni vazi linalovaliwa na wanawake hasa wakati wa kuogelea ambalo linafunika sehemu ya juu na sehemu ya chini kwa vipandi viwili tofauti vya nguo. Watu wengi saana tunafikiri 'bikini' ni zile pants za kike zenye ukanda mwembamba, ila sio maana halisi ya bikini. Bikini ni vazi la kike linaundwa na bra pamoja na panties kama vipande viwili tofauti as opposed to Monokini, hii inafunika top na bottom kwa kipande kimoja cha nguo, kama inavyoonekana kwenye picha hapo chini (mtanisamehe kwa picha). Panties zenye ukanda mwembamba ni designs tu za panties ila haimaanishi ndio inafanya ziitwe bikini.
View attachment 275270View attachment 275271
..............Bikini............. Monokini..........
siwezi jua!si mbaya kumfahamu mtummmhh!!! mkuu huyo wife wako kama namjua vilee? teh!
Wasalamu ndugu zangu,
Wanajamiiforum wenzangu naomba mnisaidie katika hili la uvaaji wa chupi za bikini.
Ukweli niliwai kusikia hapo nyuma kupitia maneno ya watu; walipata kusema,"wanawake wanapenda kuvaa bikini kwa sababu kuu moja. eti kale kaupana kanachopita na kuingia kwenye anus yake kana mtekenya,kwaiyo anahisi raha.
Jamani kwa mwenyekujua zaidi au mwenye kuweza kunitoa kwenye mawazo yangu aya si vibaya kunielimisha zaidi.
Kiukweli kilicho nifanya kuandika aya ni baada ya kumuona wife wangu na yeye ameanza kuvaa.
Kiukweli nashindwa kuelewa kila nikifikiria maana ninayo ifikiria mimi. Mimi na yeye tuna watoto watatu sasa na wamwisho ana mwaka na miezi nane.
Noel france 09:32 Today
By MZEE TOLA:
mkuu si ungeanza kumuuliza huyo
mkeo uliyemuona anavaa hiyo bikini!
nitamuliza leo tena kwa style ya
mahaba.Lakini sidhani kama jibu
litakua na tofauti na alilonipa mara
ya kwanza. Alinijibu kwa kuniuliza
swali, kwani zinatatizo gani?
nikamjibu sifahamu ila nahisi kama
zinaweza kukuchubua flani.
"akanijibu hapana ila na mimi
mwanzoni nilihisi kama wewe
unavyofikiria lakini sasa naozipo
tofauti na nlivyokuwa nazifikiria.
akaendelea kuniambia kama unaona
zinatatizo niambie. Mzee mzima
nikapezea. Kama ninge
mjibu,angeniuliza maswali mengi
kuliko majibu.