Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,343
- 217,373
Chawa kaziniHuyu mbunge kijana sio size ya wabunge waliowahi kupita katika jimbo la Biharamulo tangu enzi za ushindani wa John Magufuli na Phares Kabuye na baadae kugawanywa na kuwa biharamulo magharibi na mashariki na baadae chato
Ukimsikiliza utaona utaofauti mkubwa kwenye jimbo ambalo limetawaliwa na vyama vya TLP , CHADEMA na CCM huyu kijana yupo vema ndani ya kundi kubwa la wabunge wa CCM bungeni.
Hoja za maendeleo ya miaka mitano ya serkali mchango wake umekuwa moto hasa eneo la AJIRA KWA vijana na viwanda.
Mm USSR ambaye sio mpiga zumari KWA wanasiasa nadhani huyu ndio wanabiharamulo wanamtegemea kwa sasa
USSR