Big result now?

Big result now?

Shackshake

Senior Member
Joined
May 27, 2013
Posts
187
Reaction score
46
Ndio nn? Au ni msamiati ? Au kitendawili? Au fumbo?....need your help plz wana JF
 
Ni fumbo.

Mkuu alikuwa kwenye ziara ya "kiserikali" huko Maleshia (Malaysia), basi huko akakutana na kitu kinachofanana na hicho ila wao wanakiita Big Fast Result (BFR) . Akaomba asaidiwe kuanzisha kitu kama hicho hapa pia, wakamkubalia. Akarudi mwenye furaha na hamu ya kuingiza jambo ambalo hata halikuwamo kwenye mipango - vision-less state we are.

Bado ni fumbo!
 
Focus sasa iko Rwanda

Mimi sielewi kwa nini tunafoleni sana hapa mjini wakati traffic lights zipo?

Big results now au later?
 
Ni mindoto ya alinacha. Hata ukiangalia grammatically utadhani walishafanya kazi sasa wana evaluate matokeo. Bora hata wangesema big result tommorow. Kiujumla wanataka mabadiliko makubwa kila secta eti hadi umeme wakati hawana msingi. Na kama upo walishulamba woote. Ni maujinga maujinga tuuu. Nothing substantial mkuu.
 
Ni mindoto ya alinacha. Hata ukiangalia grammatically utadhani walishafanya kazi sasa wana evaluate matokeo. Bora hata wangesema big result tommorow. Kiujumla wanataka mabadiliko makubwa kila secta eti hadi umeme wakati hawana msingi. Na kama upo walishalamba woote. Ni maujinga maujinga tuuu. Nothing substantial mkuu.
 
Lumumba nisaidieni plz Big rizalti ndo kinini?,,,,,,hawa cwaelewi kbs
 
huo ni msemo mpya ndugu yangu. Ni kama ule uliowashinda kuutekeleza wa 'kasi mpya nguvu mpya. Hawa jamaa hata awaeleweki kabisa yaani full sanaa
 
Ni fumbo.

Mkuu alikuwa kwenye ziara ya "kiserikali" huko Maleshia (Malaysia), basi huko akakutana na kitu kinachofanana na hicho ila wao wanakiita Big Fast Result (BFR) . Akaomba asaidiwe kuanzisha kitu kama hicho hapa pia, wakamkubalia. Akarudi mwenye furaha na hamu ya kuingiza jambo ambalo hata halikuwamo kwenye mipango - vision-less state we are.

Bado ni fumbo!


kuiga kila jambo walilofanikisha wenzako bila kutafakari kwa kiina juu ya mazingira na rasilimali walizo nazo ni sawa na kasuku . "BIG RESULTS NOW WITHOUT BIG INPUTS NOW IS A BIG DREAM NOW" walimu hawalipwi malimbikizo yao hawapandishwi madaraja kwa wakati hawalipwi likizo kwa wakati , mishahara midogo.kila siku hawaishi kunung'unika Will it be big results now or big dream now? Why don't we use common sence?
 
Ni usanii mwingine wa Serikali ya DHAIFU kama ilivyokuwa kwenye "Ari mpya, nguvu mpya na kasi mpya" "Maisha bora kwa kila Mtanzania yanawezekana" "Tumethubutu, tumeweza na sasa tunasonga mbele" "Kilimo kwanza" "Sasa tunalivua gamba" msamiati unaostahili kwa sasa ni Big Ufisadi Now (BUN) kuelekea 2015 maana ule wa EPA kuelekea 2005 utakuwa cha mtoto, hapa tunaongelea trillions na siyo billions..
 
.ni kamradi kengine kakupiga billions zetu ...
 
Wakuu msilaumu, huo ni Mpango Mkakati ambao una Mchakato na mrefu na utekelezaji Mtambuka, na ndio maana umeanzishwa kwenye sekta nyeti 6 tu za serikali ili kuweza kutathmini haraka matokeo.
 
Kauli mbiu za chama hizo!.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
we unashangaa shanga na wakati wenzio washaanzisha ofice kabisa na waliokuw hawana chance wanajiopolea mahela tu..

hii serikali bhana......
 
MKUKUTA, MKUZA, MKURABITA, Kilimo Kwanza vimeishia wapi?
 
Ni kakitengo flani hivi kamewekwa maalum kupigia DILI! Kana budget kubwa kuliko baadhi ya wizara.
Ni kamradi kazuri kutoa ajira kwa watoto wao na ndugu zao.
 
big results now ni mradi mpya unao ratibiwa kwa karibu sana na washauri wa mkuu hasa wale wanaotaka kujihakikishia nafasi mara baada ya mkuu kuondoka 2015.
Huu mradi utawapeleka washauri hawa mpaka 2025.
2025 uchaguzi mwinigine wa raisi mpya maybe wataleta version mpya ya big results now ila real motive itakua kuwaweka walipo mpaka 2035.
Tuombe wakati huo raia wengi wawe wamewashtukia.
 
Back
Top Bottom