Living Pablo
JF-Expert Member
- May 17, 2020
- 3,227
- 10,084
- Thread starter
- #21
Me local citizen maslah, gan ayo unayoyazungumzia😁Wewe mwenyewe inaonekana una maslahi kwenye genge mojawapo ndio maana unaumia
Me local citizen maslah, gan ayo unayoyazungumzia😁Wewe mwenyewe inaonekana una maslahi kwenye genge mojawapo ndio maana unaumia
wengne wanajenga chama na diamond mtandaon?Kwel ni mgawanyo wa majukum.Mbowe yupo kanda ya ziwa leo kaanza kanda ya kati . Bawacha wapo mzigoni ukija kila jimbo linajenga ofisi zao hii haijawahi tokea africa. Unataka wajengeje chama. Ni mgawanyo tu wa majukumu