Na yeye anataka kuamka tena?? ahahaha ahahaha yule kashazimia binamu kuamka sio leo, halafu ray c alikua mkali sana kwa mauno enzi zake ,jide alikua haoni ndani, tatizo mauno yake kayatumia vibaya kaishia kuwakatia akina mwampamba na yule aliyemfundisha kula unga matokeo yake kayaona