JosM
JF-Expert Member
- Oct 11, 2008
- 679
- 19
- Thread starter
- #41
Naona Bw.SHY bado unaendelea kukwiba articles na machapisho ya watu na kuyageuza ya kwako. Naona umeinyakua post ya Game Theory hapa kama ilivyo na kuipeleka kule 'kwako' kama ilivyo neno kwa neno..ila mwisho unajiweka mwenyewe..eti
Yona Fares Maro
I.T. Specialist and Digital Security Consultant
lol..
kwani hawa wanao tundika hizo habari hapa nao si wanazi chukua sehemu nyingine?