Bidhaa ziingiazo nchini bila kodi

Bidhaa ziingiazo nchini bila kodi

mamii90

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2014
Posts
380
Reaction score
266
Ndugu zangu naomba kujua ni bidhaa zipi zitokazo nje ya nchi bila kodi.

Kwa mfano mimi nafahamu sanitary pads japo sijajua kama bado hazina kodi
 
Mimi nafahamu bidha za shule/kielimu.

kuna kipindi pia nilisikia za kilimo, kam ma trekta ila sina uhakika
 
Usijipe uhakika kabisa kwa jambo hili kwenye Awamu hii.

Naishia hapo
 
Back
Top Bottom