Bidhaa za Apple na Virus

Asante kaka na je, inaezekana kubadilisha format ya flash au mpaka nitafute hio flash yenye fat32...?????? Na je nikiipata naeza kuitumia kwa PC ingine ambayo sio Mac....????

Memory stick yotote unaweza iformat kwenda format yoyote mkuu kwa hiyo huna haja ya kutafta flash nyingine hizo hizo tu
 
Memory stick yotote unaweza iformat kwenda format yoyote mkuu kwa hiyo huna haja ya kutafta flash nyingine hizo hizo tu
so nikiifomat to fat32 inaeza tumika kwa PC yoyote...???
 
Hakuna device isiyoingia kirusi dawa ni kutumia antivirus pia angalia window unayotumia kama ni XP hiyo ilishatolewa sokoni hivi sasa inapokea virus sana inawezekana pia hiyo movie uliyo download ni virusi
 
download Adwaremedic then install huwa inaondoa tatizo ila ni kweli hazishiki virus
 
Katika Mac ukifuta data katika external device Kama flash au HDD Ile data bado inakuwa imekula the same amount of space hadi uende kwenye recycle kule uka-empty space yote
 
Katika Mac ukifuta data katika external device Kama flash au HDD Ile data bado inakuwa imekula the same amount of space hadi uende kwenye recycle kule uka-empty space yote
NAHISI HAPO ATAKUWA AMETATUA TATIZO LAKE COZ WATU WENGI HUWA WANAJUA UKI DELETE KTK LOCAL DISK INAKUWA IMETOKA KABISA TKA DEVIC KUMBE NI MPAKA AITOE PIA KWA DUSTBIN
 
Katika Mac ukifuta data katika external device Kama flash au HDD Ile data bado inakuwa imekula the same amount of space hadi uende kwenye recycle kule uka-empty space yote

Nashukuru kwa ushauri boss....!!!!!! Na vip kuna mtu ameongelea suala la fomat za flash unalionaje...???
 
mkuu salama?
 
Baada ya kufuta vitu kwenye flash, nenda ka-clear trash! Hapo ndiyo vitakuwa vimetoka mazima. Otherwise cut and paste them somewhere. Mara nyingi huwa iko hivyo kwenye Linux/UNIX systems nyingi
 
Pia, ni kwamba, inawezekana unapofuta hau empty trash. Kila unapofuta kitu kutoka kwenye external disks (flash, memory cards, au HD) yakupasa u empty trash.. Kwa sababu bila kufanya hivo vitu huwa vinahamia kwenye trash. Ndo maana ukichomoa hiyo disk na kuweka kwenye Windows PC, utakuta kuna ma folder yamejiongeza kama vile .trashes etc
 
Nashukuru kwa ushauri boss....!!!!!! Na vip kuna mtu ameongelea suala la fomat za flash unalionaje...???
well, ni kweli kuwa format ina matter coz kwa mfano external HDD nyingi ziko katika format ya FAT so ukitumia katika mac unaweza kuwa limited, unakuta unaweza copy from mac to extenal lakini huwezi kudelete from external so cha msingi install NTFS pgm.
 
Kudunga dunga haifai.
Laptop yako ifanye kama mke si kila mtu adunge dunge tu flash yake.

Personal tangu nimenunua laptop ni mwaka wa tatu sasa haijawai kuingizwa flash ya kiumbe yeyotr zaidi ya yangu binafsi. Nadhani unaelewa.

Mbili) kuna miprogram isioeleweka kama sjui ultra pc cleaner na mengine. Haya maprogram yanakuja sana sana ukidownload setup ambayo inafanya online installation.. Kwa wale wavivu wakusoma wakati unainstall una accept na hizo program pia hapo unaliwa .

Tatu) kua safe kwa kompyuta yako kunaendana na usmart wa akili yako. Japo hua zinafanya kazi ila nakushauri, Buy anti virus ikiwa kwenye disc na si udownload bure mtandaoni.
 
Asante kaka na je, inaezekana kubadilisha format ya flash au mpaka nitafute hio flash yenye fat32...?????? Na je nikiipata naeza kuitumia kwa PC ingine ambayo sio Mac....????
Niuzie iyo mac
 
Kudunga dunga haifai.
Laptop yako ifanye kama mke si kila mtu adunge dunge tu flash yake.

Personal tangu nimenunua laptop ni mwaka wa tatu sasa haijawai kuingizwa flash ya kiumbe yeyotr zaidi ya yangu binafsi. Nadhani unaelewa
Mkuu kweli we nomaa, kwahiyo ukishaingiza hiyo flash yako alafu unaipeleka wapi?
 
Mkuu kweli we nomaa, kwahiyo ukishaingiza hiyo flash yako alafu unaipeleka wapi?
Hehe in short mimi kompyuta yangu haipokei bali inatuma yu know what am sain? [emoji28] napenda kuiita straight. Inakua ivi muvi nadownload na software zote nipe link nadownload. Kama ni documents naweka kwenye sim nasync na software kama cloud drive alafu naishusha kwenye pc.
Ila ukitaka kitu from me, my flash always ni kama kikombe. Kiko tupu. Nakuekea unachotaka (chai) unahamisha kwa pc yako (unakunywa) ukimaliza format flash yangu nipe ikiwa empty (nioshee kikombe changu)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…