Bidhaa yeyote kutoka dubai

Ushimen

JF-Expert Member
Oct 24, 2012
37,164
85,137
Hii ni kwa yeyote anaehitaji bidhaa/biashara yeyote kutoka Dubai.
Tafadhali pm
 
Hii ni kwa yeyote anaehitaji bidhaa/biashara yeyote kutoka Dubai.
Tafadhali pm
Bongo ya leo imejaa "wapigaji" wengi sana, wewe utatumia strategies gani kujitofautisha na hao wapigaji??

Yaani mfano nahitaji labda spare ya gari, utaniaminishaje kua nitaipata na hela yangu iko kwenye mikono salama??

Ni Biashara ya Prepay, Postpay au Advance Cash??
 
Bongo ya leo imejaa "wapigaji" wengi sana, wewe utatumia strategies gani kujitofautisha na hao wapigaji??

Yaani mfano nahitaji labda spare ya gari, utaniaminishaje kua nitaipata na hela yangu iko kwenye mikono salama??

Ni Biashara ya Prepay, Postpay au Advance Cash??

Kama ukihitaji naweza nikaiagiza, then ukaenda kuchukua na kulipia.
Sihitaji pesa kabla ya mzigo, nakuletea mzigo unalipia, kwaheri
 
Kama ukihitaji naweza nikaiagiza, then ukaenda kuchukua na kulipia.
Sihitaji pesa kabla ya mzigo, nakuletea mzigo unalipia, kwaheri

Dogo naona wewe ni mgeni wa biashara za hivi, sasa nakushauri usije ukathubutu kufanya kama ulivyoandika hapo juu.. Utalia sana!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom