Biden apigilia msumari wa mwisho!!

Biden apigilia msumari wa mwisho!!

Song of Solomon

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2021
Posts
2,751
Reaction score
5,623
RAIS wa Marekani Joe Biden amewahakikishia wabunge wa Marekani kwamba wanajeshi wa taifa hilo hawatashiriki katika vita vya Ukraine, na hakuna hata mwanajeshi hata mmoja atakayetumwa katika nchi hiyo ya Ulaya Mashariki kupigana na Jeshi la Urusi.

Akihutubia Bunge la Congress Jumanne, Biden alisisitiza kuwa "vikosi vya Marekani havishiriki na havitashiriki katika mzozo na vikosi vya Urusi nchini Ukraine."

Hata hivyo, kiongozi huyo amesema, wanajeshi wa Marekani, vikosi vya anga na meli za kivita zinatumwa mahali pengine ili "kutetea washirika wetu wa NATO ikiwa Putin ataamua kuendeleza (mapambano) katika nchi za magharibi."

Biden alizitaja nchi ambazo Marekani inaimarisha jeshi lake kuwa ni Poland, Romania, Latvia, Lithuania na Estonia.

Rais wa Marekani aliendelea kuionya Moscow kwamba, kwa kuzingatia kanuni ya 5 ya NATO, Washington itaingjia kuwaokoa washirika wake wa NATO ikiwa Urusi itawalenga, na kuongeza kwamba kambi ya kijeshi iko tayari "kulinda kila inchi ya eneo la nchi za NATO na nguvu kamili ya mamlaka yetu ya pamoja."
 
Putin alisema sitaipiga Ukraine USA wakasema ataipiga na tunaona anavyosogeza majeshi na vifaa hatimaye putin anashusha kipigo.

Jana Biden kasema hawataingilia vita ila wanawalinda maswahaba zao, angalia Putin atachofanya, atamchokoza mmoja wa maswahaba wa NATO ili mchezo uwe mkubwa mpaka China, Korea waingilie ili adhima ya kuichapa Amerika itimie.

NOTE: it's my case eye.
 
RAIS wa Marekani Joe Biden amewahakikishia wabunge wa Marekani kwamba wanajeshi wa taifa hilo hawatashiriki katika vita vya Ukraine, na hakuna hata mwanajeshi hata mmoja atakayetumwa katika nchi hiyo ya Ulaya Mashariki kupigana na Jeshi la Urusi....

Haya mambo yalishakua planned long time,putin anaenda shambuliwa.hapo ni jana akihutubia congress na kaviambia vikosi vyake
GO AND GET HIM

New world order ndio inayopiganiwa,Russia ni kama Mbuzi wa kafara tu.
 
Putin alisema sitaipiga Ukraine USA wakasema ataipiga na tunaona anavyosogeza majeshi na vifaa hatimaye putin anashusha kipigo...
Putin hana ujanja au uwezo wa kufanya hiki unachoandika hapa. Kama lengo la Putin ni kuichapa Marekani basi asingeenda kushambulia Ukraine ambayo sio mwanachama wa NATO na kuziacha nchi kama Lithuania, Estonia na Lativia ambazo ni wanachama hai wa NATO na pia anapeano nao mpaka. Anasema hataki majeshi ya NATO na silaha mlangoni kwake, lkn hizo nchi nilizotaja hapo juu tayari ni wanachama wa NATO na wanahifadhi kambi za NATO, maelfu ya askari na silaha za NATO karibu yake.

Na pia kumbuka wakati wa huu mzozo Mmarekani ametuma tena askari wake 7000 na vifaa vya jeshi katika nchi za Poland, Romania, Bulgaria na hizo zingine nlizozitaja hapo juu ili kulinda uvamizi wowote dhidi ya mwanachama mwenzao wa NATO. Kwahiyo kama Mrusi ni mwanaume angedili na mmoja wa mwanachama wa NATO ili kutoa onyo kwa Ukraine na nchi zingine zisijiunge. Jiulize ni kwann aliivamia nchi ambayo sio mwanachama wa NATO na kuziacha hizo ambazo ni wanachama wa NATO?

Jibu ni kwa sababu alijua na anajua kwamba hiyo nchi haijakubaliwa kuwa mwanachama wa NATO kwahiyo akiivamia kivita NATO hawawezi kumlinda kwa sababu sio mwanachama wao. Ramani hiyo hapo uone nchi za NATO zilivyomzunguka Mrusi mlangoni kwake tena karibu na mji mkuu, afu yeye anakwenda kukionea kile kidagaa kidogo ambacho hakina hata sifa ya kujiunga na NATO.


images (11).jpeg
 
Putin hana ujanja au uwezo wa kufanya hiki unachoandika hapa. Kama lengo la Putin ni kuichapa Marekani basi asingeenda kushambulia Ukraine ambayo sio mwanachama wa NATO na kuziacha nchi kama Lithuania, Estonia na Lativia ambazo ni wanachama hai wa NATO na pia anapeano nao mpaka. Anasema hataki majeshi ya NATO na silaha mlangoni kwake...
ungekua unaelewa maana ya kuzungukwa usingeleta hii ramani yako uchwara.

pia RUSSIA anaihitajia zaidi UKRAINE kuliko hao members wa NATO sababu akiibeba UKRAINE angalia atakavyokua karibu zaidi na wanachama wa NATO huku RUSSIA kidogo ikiwa mbali kwahio kama itatokea vita mbeleni inatakiwa kwanza muanze kupambana na RUSSIA akiwa yupo UKRAINE kabla yakumfikia RUSSIA akiwepo kule RUSSIA.kwenyewe
 
ungekua unaelewa maana ya kuzungukwa usingeleta hii ramani yako uchwara
pia RUSSIA anaihitajia zaidi UKRAINE kuliko hao members wa NATO sababu akiibeba UKRAINE angalia atakavyokua karibu zaidi na wanachama wa NATO huku RUSSIA kidogo ikiwa mbali kwahio kama itatokea vita mbeleni inatakiwa kwanza muanze kupambana na RUSSIA akiwa yupo UKRAINE kabla yakumfikia RUSSIA akiwepo kule RUSSIA.kwenyewe
mkuu achanaye sijui chochote wamekomali kusema kwani ni member wa nato
 
Nafikiri ww unaongea kishabiki zaidi kuliko uhalisia. Kivita unaweza kusema kuwa hizo nchi ziko mbali na Russia? Afu kama Mrusi ana nguvu kwann hakuziwia hizo nchi kujinga miaka hiyo kama alivyofanya Mmarekani kwa Cuba enzi za Fidel Castro na nchi zingine zilizopo karibu na Amerika? Kifupi jamaa ashashindwa maarifa na Mmarekani, na hana ujanja tena wa kupindua meza eti kuzivua hizo nchi uanachama.. na kamwe Mmarekani asingekubali ujinga huo ufanyike mlangoni kwake, lkn urusi kutokana na uoga wake aliangalia majirani wote walivyojiunga mwanzo mwisho afu leo hii 2022 ndo anajifanya amezinduka na kuanza kuvamia wasiokuwa wanachama, huku akiwaruka kama vile hawaoni hao wanachama. Huu ni upuuzi wa hali ya juu.
 
Nafikiri ww unaongea kishabiki zaidi kuliko uhalisia. Kivita unaweza kusema kuwa hizo nchi ziko mbali na Russia? Afu kama Mrusi ana nguvu kwann hakuziwia hizo nchi kujinga miaka hiyo kama alivyofanya Mmarekani kwa Cuba enzi za Fidel Castro na nchi zingine zilizopo karibu na Amerika? Kifupi jamaa ashashindwa maarifa na Mmarekani, na hana ujanja tena wa kupindua meza eti kuzivua hizo nchi uanachama.. na kamwe Mmarekani asingekubali ujinga huo ufanyike mlangoni kwake, lkn urusi kutokana na uoga wake aliangalia majirani wote walivyojiunga mwanzo mwisho afu leo hii 2022 ndo anajifanya amezinduka na kuanza kuvamia wasiokuwa wanachama, huku akiwaruka kama vile hawaoni hao wanachama. Huu ni upuuzi wa hali ya juu.
Haya kapiga Ukraine sasa mnasemaje ingieni muone si alisema
 
Haya kapiga Ukraine sasa mnasemaje ingieni muone si alisema
Vita sio kama Ngoma ya Mdumange bwana mdogo kwamba unapigana tu kama masela wa Manzese kisa kuonyeshana ubabe.

Mrussi angekuwa na nia kweli ya kupigana na Marekani angemgusa mwanachama wa NATO kati ya hao anaopakana nao lakini kawaacha kaenda kwa UKRAINE. Au unataka kumuambia una akili kupita Putin?!
 
Ukraine waweke TU silaha chini, Vita ishawashinda Hii watazidi kuchakaa bure.

Kama USA kamkimbia Russia,
Ni Nani mwingine anauthubutu wa kumuingilia Russia?

Maana Kwnyw huuu mgogoro marekani ndo superpower na ndo kioo Cha jamii kwa NATO,EU na Dunia nzima kufuata nyayo zake.

Sent using Jamii Forums mobile app
We unazani marekan chiz aende kupoteza nguvu nauchumi wake kisa ugomvi wandugu ili kufurahisha watu, huyo Ukraine sio mwanachama wake
 
Putin hana ujanja au uwezo wa kufanya hiki unachoandika hapa. Kama lengo la Putin ni kuichapa Marekani basi asingeenda kushambulia Ukraine ambayo sio mwanachama wa NATO na kuziacha nchi kama Lithuania, Estonia na Lativia ambazo ni wanachama hai wa NATO na pia anapeano nao mpaka. Anasema hataki majeshi ya NATO na silaha mlangoni kwake...
Time inazungumza hichi kilichofanywa na Mmarekani kuchange gear hewani kumuachia msala UKRAINE Kitaendelea hata hizo nchi mnazoziita wanachama hivi tu tujiulize swali la msingi ule uvamizi angefanya nchi kama Japan Mmarekani asingepeleka jeshi Ukraine kweli...? hapa tusipepese maneno hata Hata siku akizingua Poland Mrusi akaivamia patatoka vijisababu kuwa oooh kwa kuwa mwanachama mchanga hatuwezi kupeleka jeshi hafanyi hivyo Mmarekani kwa kubahatisha anajua afanyalo anamjua Mrusi tangu dahali huko kwani mara ngapi Mmarekani anapeleka majeshi yake kwa zisizokuwa wanachama wa Nato au mnajisahaulisha kwa nini hapeleki Ukraine anajua moto wa Mrusi
 
Back
Top Bottom