Huyu mshangazi kama sio mhaya, sijui. Ana figa ya hatari. Hapa aliyepoteza ni mme wake haya yote ya sijui usitumie jina langu ni mahasira yake mwenyewe. Kama alikuwa haudumii hiki kifaa kitandani ipasavyo ana haki ya kumegewa.
Huo ndiyo ukweli,kifaa kama hiki kinahitaji huduma mbili muhimu sana,Fedha (sio za mawazo) na Dushelele la kufa mtu vinginevyo tutakataza wasijiite majina yoooote.Hivi kwani KALUA ana Trademark nalo??
Ukiona mke wako anasema anakuwa mbunge mzee hesabia hasara tu. Kupona kutomegwa siyo kazi rahisi, kiufupi ofisi za umma kubwa kubwa hizi wanawake kupona ni ngumu sana.